STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Mwanafunzi wa kike amenifuata nikiwa staff leo asubuhi.
Mwanafunzi: Mwalimu Samahani. nakuomba usinichukulie vibaya na wala usinielewe tofauti na hivi ambavyo nataka kueleweka.
Mwalimu: Niambie tu usiwe na hofu. Kuna nini?
Mwnafunzi: Mwl. ****** amenitongoza.
Mwalimu: Kwa hiyo umefanya nini?
Mwanafunzi: siku mjibu, lakini tangu juma lililopita amekuwa akinipa adhabu ambazo naona kama vile ananionea.
Mwalimu: kwa nini unahisi anakuonea?
Mwanafunzi: tunafanya kosa moja na wenzangu lakini mimi ananiadhbu mara mbili au mara tatu.
Mwalimu: awali haikuwa hivyo?
Mwanafunzi: hapana, tena leo amenipa adhabu hata sifahamu kosa langu.
Mwalimu: Nenda, Jumatatu nitakuita nikupe ushauri nafikiri nitakuwa nimepata namna nzuri ya kulitatua tatizo lako.
Mimi ni Mwalimu wa kiume, vipi nikimshauri binti amfuate Mwalimu wa kike? Ungemsaidiaje binti huyu??
Mwanafunzi: Mwalimu Samahani. nakuomba usinichukulie vibaya na wala usinielewe tofauti na hivi ambavyo nataka kueleweka.
Mwalimu: Niambie tu usiwe na hofu. Kuna nini?
Mwnafunzi: Mwl. ****** amenitongoza.
Mwalimu: Kwa hiyo umefanya nini?
Mwanafunzi: siku mjibu, lakini tangu juma lililopita amekuwa akinipa adhabu ambazo naona kama vile ananionea.
Mwalimu: kwa nini unahisi anakuonea?
Mwanafunzi: tunafanya kosa moja na wenzangu lakini mimi ananiadhbu mara mbili au mara tatu.
Mwalimu: awali haikuwa hivyo?
Mwanafunzi: hapana, tena leo amenipa adhabu hata sifahamu kosa langu.
Mwalimu: Nenda, Jumatatu nitakuita nikupe ushauri nafikiri nitakuwa nimepata namna nzuri ya kulitatua tatizo lako.
Mimi ni Mwalimu wa kiume, vipi nikimshauri binti amfuate Mwalimu wa kike? Ungemsaidiaje binti huyu??