Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Nimejaribu kuutafakari huu utamaduni wa ndugu zetu wahindi linapofika swala la ndoa familia ya mwanamke ndo inawajibika kulipa mahali kwa familia ya wanaume .
Ukituzama kwa mbali hawa ndugu zetu waliona mbali sana sababu walijua kijana wao akioa basi ameowa familia sahihi sio zile familia zenye njaa
Ambazo ukioa ukoo wa mwanamke wote unageuka kuwa tegemezi
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ukituzama kwa mbali hawa ndugu zetu waliona mbali sana sababu walijua kijana wao akioa basi ameowa familia sahihi sio zile familia zenye njaa
Ambazo ukioa ukoo wa mwanamke wote unageuka kuwa tegemezi
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app