NGULI,umeua kichiz hapo juu.
natamani kukimbia ofisi
Mi nipo JJ nikitoka naenda 77
NGULI,umeua kichiz hapo juu.
natamani kukimbia ofisi
Msalimie Eliza..Mi nipo JJ nikitoka naenda 77
Mi nipo JJ nikitoka naenda 77
Gotcha you! ila tatizo la misez babu hachelewili kuomba na kesho aje!
NGULI,umeua kichiz hapo juu.
natamani kukimbia ofisi
Mi nipo JJ nikitoka naenda 77
BiG hua anatembea na laptop?upo jj kivipi mbona sion posted VIA MOBILE?...au upo na bigirita hapo?
Meku leo umeamua kututamanisha!Huyu atakuwa naye kalewa mbege
Hii Timu yote itakuwa Moshi-Kasoro mathematician wetu RIP
Ishaoshwa tayari
Nami ntakua waiter ili kuhakikisha kila member anapata mbege ya kopo na huduma zingine za hapa na paleWapendwa katika Bwana,
Nawasalimuni kwa upendo wa Agape.
Nadhani mnajua Jumamosi inayokuja ni Birthday ya Bwana Yesu. Kama kawaida yetu siku hii huwa lazima tuishehereke kwa namna tofauti. Kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine hawajaweka logistics za kuisherehekea siku hii, namkaribisha ajumuike nami ( Jinsia haiko kwenye itifaki).
Kwa ambaye atajumuika nami namwomba akariri haka kawimbo ambako ndiko tutafungulia shampeni baada ya kupiga kisusio cha mbusi mee na kuichakachua minyoo kwa mbege ya kopo:
Mbali kulee naaaasikia,
Malaika waaaa mbiiiinguniiii,
Wakiimbaa weeeeengi pia,
Wimbo huo juuu anganiiii
Glooooooh oooooooh oooooooooooh oooooooh riaaaaaa in excelsis Deeeeeeooooooh
Waaachungaaa tuaaaaaambieni,
Sababu ya wiiiiimbo huo,
Mwenye kwimbiiiiiwaaaaa ni nani,
Juu ya nani siiiifaaaaa hizoooooo
Glooooooh oooooooh oooooooooooh oooooooh riaaaaaa in excelsis Deeeeeeooooooh
Je hamjuiiii jambo kuuuu,
La kuzaliwaaaa mwooookozi,
Sababu ya wiiiiimbo huuo,
Ni wa kumshukuru Mweeeeenyeziiii.
Glooooooh oooooooh oooooooooooh oooooooh riaaaaaa in excelsis Deeeeeeooooooh
:drum::violin::humble::horn::cheer2::lalala::lalala::A S-heart-2::amen:
Kaizer kathibitisha uwepo wake kwenye kupiga organ, Nguli atakondakti, Kimey sauti ya tatu, Roya ya nne. Teamo atakuwa anamnywesha Gift mbege kwa mara ya kwanza. Finest atapiga ngoma, na wajukuu watkabidhiwa makayamba.
Watani zangu mnakaribishwa.
Heri ya Krisimasi na Mwaka Mpya kwa watakaofanikiwa kuuona. Amen
Meku leo umeamua kututamanisha!
mndumi oko sir, no place like home
muzee!!!!!!
yes sir
nguli nakutunukia nishani ya lishe bora.
Kwaheri mkoloni, sina jinsi nalazimika kwenda kwa asenga anipimie japo nusu kilo.
hivi sheria ameishaingia mjini????
Nguli nakutunukia NISHANI ya LISHE BORA.
Kwaheri mkoloni, sina jinsi nalazimika kwenda kwa ASENGA anipimie japo Nusu kilo.
Nguli nakutunukia NISHANI ya LISHE BORA.
Kwaheri mkoloni, sina jinsi nalazimika kwenda kwa ASENGA anipimie japo Nusu kilo.
Hahahaha.... mkuu hiyo landrova itamtosha mama WiseLoad sore Ai miin Wiselady? Ameniahidi atajumuika nasi kwenye kuria kidoko.Sharia?sheria? kama ni SHARIA tena hao ndio walaji wa mdudu ile mbaya
Mkuu nashukuru kwa nishani umemwona mzee anapiga na ngera uliochanganywa na msesewe? Landrover iko service pale victoria tayari kwa safari ya usiku kuelekea mkoa wa AHADI-KAANANI