Mmekuwa watu wa karibu kitambo sasa,labda mko ofisi moja,darasa moja,mtaa mmoja etc. Mnaelezana mambo mengi hata yanayohusu mahusiano yenu ya kimapenzi na watu wengine. Mkiudhiwa na wapenzi wenu mnaambizana na kufarijiana,mkifurahishwa hali kadhalika.Ghafla mnaanza kuhisi mazungulukee na mahusiano yetu yanaanza kubadilika,kawivuuu kwa mbaaaaali kanaanza. Tuulizane wadau,ishawahi kukutokea hii,ulii handle vipi situation, kwa waliopitia hali hii nini dalili za kwanza kwamba 'ukaribu' unaanza kutoka ngazi ya 'urafiki' na kuwa 'romantic',je mwenzako aliipokeaje hii hali je naye alikudondokea au ndo yalikuwa mambo ya kuumizana roho? na je hao ma ex wenu waliichukuliaje ukizingatia wao walikuwa wanajua ninyi ni marafiki tu hivyo hata outing mlikuwa mnatoka wote?
.....Jumapili njema,Tanzania 5 Morocco 0......
Once happen na iliniumiza sana huwa sitaki kukumbuka. Ilianza kama utani as a friend tena familia yao ikiwa family friend mambo yakaendelea kuitana rafiki rafiki nikajua she is in the same track kumbe nilijidanganya. Kilichotokea ni mimi najua.........
Niliitwa wifi, mkwe, na kupigiwa simu na mama, dada na hata kaka zake! Walitaka kunijulia hali na kunikaribisha wweek end for lunch au dinner!
Ikabidi nimuulize rafiki ni nini kinaendelea kwani hapo mi nilikuwa nishazama na kuhusi hivyo kwa mwenzangu!
Alas, hakuwa tayari kwa hatua mbele zaidi ingawa alinipenda!na kudai kuwa kama nita-step back atakuwa amepoteza mtu wa maana/muhimu katika maisha yake. Basi, nikaamua kupiga hatua nyuma na kupunguza mawasiliano na wote katika hiyo familia. Hivi sasa tuko mbali na mwasiliano ni ya kawaida kabisa.
Mmekuwa watu wa karibu kitambo sasa,labda mko ofisi moja,darasa moja,mtaa mmoja etc. Mnaelezana mambo mengi hata yanayohusu mahusiano yenu ya kimapenzi na watu wengine. Mkiudhiwa na wapenzi wenu mnaambizana na kufarijiana,mkifurahishwa hali kadhalika.Ghafla mnaanza kuhisi mazungulukee na mahusiano yetu yanaanza kubadilika,kawivuuu kwa mbaaaaali kanaanza. Tuulizane wadau,ishawahi kukutokea hii,ulii handle vipi situation, kwa waliopitia hali hii nini dalili za kwanza kwamba 'ukaribu' unaanza kutoka ngazi ya 'urafiki' na kuwa 'romantic',je mwenzako aliipokeaje hii hali je naye alikudondokea au ndo yalikuwa mambo ya kuumizana roho? na je hao ma ex wenu waliichukuliaje ukizingatia wao walikuwa wanajua ninyi ni marafiki tu hivyo hata outing mlikuwa mnatoka wote?
.....Jumapili njema,Tanzania 5 Morocco 0......
One thing i know ni kua if you have a great guy friend na mkaingia Uhusiano wa Mapenzi... You loose more than you gain for guys as friends are really good and reliable.... He is always there for you... Sometimes kuliko hata Mpenzi wako....
lakini ujue urafiki wa mwanamke na mwanaume kwa ukaribu lazima mtokomee hukooo emotionally yaani..na msithubutu wote muwe single
Ni kweli kabisa kwani kwani ikiwa mlianza kama rafiki badae wapenzi, mara nyingi mapenzi yakiisha hayaishi "kirafiki" kwa hiyo utakuwa umepoteza mpenzi na rafiki.One thing i know ni kua if you have a great guy friend na mkaingia Uhusiano wa Mapenzi... You loose more than you gain for guys as friends are really good and reliable.... He is always there for you... Sometimes kuliko hata Mpenzi wako....
Ni kweli kabisa kwani kwani ikiwa mlianza kama rafiki badae wapenzi, mara nyingi mapenzi yakiisha hayaishi "kirafiki" kwa hiyo utakuwa umepoteza mpenzi na rafiki.
Kwenye red, nahisi hata girls as friends are really good and reliable. Nawashangaa wanosema hakuwezi kuwa na urafiki baina ya jinsia mbili tafauti!
maumivu yake bora upigwe mkuki...unajua nini inakuwa kama loose ball vile mara ghafla mambo yanachange
Wacha kabisa na unajikuta ukiwa na matumaini makubwa kuwa atakuwa fulani maishani mwangu kibao kinageuka unajikuta umempoteza kama rafiki pia
Mara nyingi kama mlianza tu Urafiki wa kawaida.... Vitu kama Kumpoteza umpendae.. matatizo ya hapa na pale... stress or niseme mambo yale yoote ambayo yanahitaji ukaribu wa mtu ambae ni better half ndio hupelekea iwe hivo... BUT kama urafiki ulianza kwa kutongozwa na hukumkubalia for the simple reason humkumpenda... then maybe with time akagundua you are good company a lot of guys huridhika kua friends.. hapo mwaweza kaa vizuri kabisa kama friends....
aliyeweka thread alimaanisha coincidence no seducing each other hapo! Wote hamna wapenz, wote mmeachwa kabla hapo patamu ndugu...na mara nying huwa haina kutongozana hii
basi ngoja nikupe kisa..miaka 5 nyuma nilikutana na mdada bank mza na nilisoma nae o lever miaka ming nyuma bt i was far ahead to her...tukabadilishana mawazo na story nyingi siku hiyo na contacts tuka-exchange km mwezi after akanicall ni kutaka nimtafute ok nikamwelekeza home akaja then tukawa marafiki wa kawaida bwana we akafariki baba yake kwa ajali ghafla singida basi ndo nikawa karibu yake sana akawa hataki nimwache hata dakika moja nikitoka job nakwenda kumpa HI japo kidogo, muda baadae nikaenda chuo udsm basi mwenzangu akakosa raha huyo eti nitamsahau na nitamtosa nikihama rock city alaa nikajua ashanipenda nikajiturne kimapenzi zaidi kwani alikuwa presentable na mpole sana..kama miezi michache sijaondoka akataka OUT namimi ndo akaenda kuniomba radhi eti hajui km nampenda au vp? Eti ana mchumba wake? Nikamuuliza huyo mchumba mbona msibani hakuja? Kigugumizi kingi nikaondoka zangu mi hasira kibao mpuuzi kweli mpaka leo mawasiliano sufuri..Mara nyingi kama mlianza tu Urafiki wa kawaida.... Vitu kama Kumpoteza umpendae.. matatizo ya hapa na pale... stress or niseme mambo yale yoote ambayo yanahitaji ukaribu wa mtu ambae ni better half ndio hupelekea iwe hivo... BUT kama urafiki ulianza kwa kutongozwa na hukumkubalia for the simple reason humkumpenda... then maybe with time akagundua you are good company a lot of guys huridhika kua friends.. hapo mwaweza kaa vizuri kabisa kama friends....
One thing i know ni kua if you have a great guy friend na mkaingia Uhusiano wa Mapenzi... You loose more than you gain for guys as friends are really good and reliable.... He is always there for you... Sometimes kuliko hata Mpenzi wako....
Unaweza kuniita old fashioned lakini ndio maana mimi huwa nasisitiza hakuna kitu kama urafiki wa karibu baina ya jinsia mbili tofauti (I mean best friend thing). Hiyo kitu lazima mwisho wa siku mmoja wapo imzidi, imenitokea sana tu.
basi ngoja nikupe kisa..miaka 5 nyuma nilikutana na mdada bank mza na nilisoma nae o lever miaka ming nyuma bt i was far ahead to her...tukabadilishana mawazo na story nyingi siku hiyo na contacts tuka-exchange km mwezi after akanicall ni kutaka nimtafute ok nikamwelekeza home akaja then tukawa marafiki wa kawaida bwana we akafariki baba yake kwa ajali ghafla singida basi ndo nikawa karibu yake sana akawa hataki nimwache hata dakika moja nikitoka job nakwenda kumpa HI japo kidogo, muda baadae nikaenda chuo udsm basi mwenzangu akakosa raha huyo eti nitamsahau na nitamtosa nikihama rock city alaa nikajua ashanipenda nikajiturne kimapenzi zaidi kwani alikuwa presentable na mpole sana..kama miezi michache sijaondoka akataka OUT namimi ndo akaenda kuniomba radhi eti hajui km nampenda au vp? Eti ana mchumba wake? Nikamuuliza huyo mchumba mbona msibani hakuja? Kigugumizi kingi nikaondoka zangu mi hasira kibao mpuuzi kweli mpaka leo mawasiliano sufuri..
ashadii kweli kabisa. Ni bora kumaintain friendshp kuliko kuvuka next stage.
Wanaume wengine ni wabishi katika hilo.