Na gari moja Toyota CamryhALAFU amesema anamiliki akaunti 3, crdb, Stanbic, na baclays, japo hajasema kuwa zina shiing ngapi!
Na anasema ana heka 1.5 za shamba, na si zaidi ya hapo!.ha ha haaaa!, mtoto kaguswa pabaya huyu, sasa atadhalilika!
Nadhani baba yake amemlazimisha ajitetee, vinginevyo anavuliwa gamba kwa maji ya moto!
Watasema kila kitu walichochukua wanaanzaga kwa kukanusha, amejiingiza mwenyewe kwenye mtego kwanza kule kuanza kujibu ni dalili ya kiwewe.sasa ushahidi siunao wa unayoyapinga? mi nadhani kama unabisha kisomi wewe na akina slaa mdhihirishe huo ushahidi aliouomba. Unajua kaka mtu kuongea unaweza kuongea sana lakini inapofikia kwenye point ya ushahidi basi toa ushahidi wako ulionao kisha sisi watanzania tutapima nani muongo na anaongopa kwa maslahi ya nani
Nimemuona sasa hivi ITV anasema anawapa siku 7 wanaomtuhumu kuwa ana mali zaidi, watoe ushahidi, au sio atawafungulia mashtaka.
Huoni watakiwa utoe vivid evidence ili tupate kuchekecha ukweli wa mambo?
naweza sema Riz1 anamiliki hoteli ya kisasa serengeti ili kunogesha habari na kupoteza muda na wajinga watashabikia.
plz hebu tusiaibishe jukwaa hili kwa kuandika chochote ujisikiacho wakati huwezi thibitisha.
Kama kusikia husikii, hata picha huoni?
Nimemuona sasa hivi ITV anasema anawapa siku 7 wanaomtuhumu kuwa ana mali zaidi, watoe ushahidi, au sio atawafungulia mashtaka.
It seems like Sangara una data za jamaa wewe!!! Au best Friend au ndio Ridhiwani mwenyewe, manake mimi mlalahoi nimesikia siku nyingi from my Friend huko Serengeti kuwa ana bonge moja la hotel, tena limejengwa kiajabu sana kwani liko Mbugani lakini miti haikukatwa na wanyama wanaendelea kuvinjari huku watalii nao wakiendelea kuvinjari. Nasikia staff wake wanalipwa dau kubwa na wanachukuliwa na kurudishwa na magari ya kitalii. Kama kuna ambaye ana data kuhusu tetesi hizi basi atujuze. Ingawaje ni kweli watu wanayajua mengi shida ni hizo evidence. Really kabisa jamaa aliyeniambia ni Mhasibu alikuwa akitamani kuacha kazi kwenye Halmashauri ili akatafute kazi huko.
kaka sijui unatetea nini hapo, au wewe ndio Riz, wewe hufikiri jamaa kapataje hivyo vijisenti, Mafuta sasa lita moja ni zaidi ya sh 2000. Unategemea EWURA watapunguza bei wakati mtoto wa dingi anahusika na biashara hiyo, Tafakari.......we dada ivi ukisikia mme wako anatembea nje ya ndoa unaamini moja kwa moja au unafanya upelelezi kwanza. kilichoombwa ni ushahidi wa hizo tuhuma. kama unazodata zitoe, usipende kuamini kila unalolisikia hususani kwa wanasiasa. ivi kwamfano ukisikia mtu anasema "nilisha sikia long time kuwa yule rafiki yako analiwa tigo" nini utakachoomba ili kuthibitisha hilo? tafakari na muogope Mungu katika kumtuhumu mtu jambo ambalo huna uhakika nalo.
Hapana,si mapema.....Angechelewa tungesema kachelewa kujibu,mi nadhani kajitokeza kwa wakati muafaka.....Tusubiri hiyo wiki moja