KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Wewe umejifunzia sipiyu ubaoni nini? Mbona hatukuelewi??
Wapendwa tkt JF salam zenu wote/nyote/sote.
Nashukuru kupata nafasi hii kuwasiliana na ndugu zangu wanamijadala.
napenda kuwasilisha madda hii hapa, je, huyu mtt wa n je ni n? unadhani km kweli wanavyosema ameweza kuagiza magari 100 semi traillers unadhani nikwasababu ameweza kujijasiliamali mapema au unadhani kuna mkono mkubwa wa mafisi maji? je, unadhani EL anamzidi nani kwa ufisaid? je nikweli kuwa akipewa urais 2015 anaweza kutuacha nakutumia vibaya madaraka yk nakuendelezza mafisadi? je unadhani kweli wapo km akina Sumaye au Warioba wnaofaa kuwa marais?
napenda kusema kwani nilikwisha sema EL anatufaa sn.
Umesoma post ya Horseshoe Arch hapo juu?Riziwani ni kijana muungwana, safi, muadilifu si kama wanasiasa wanavyotaka tuamini. Ni kichekesho viongozi wa kisiasa kutafuta umaarufu kupitia kwa kijana mdogo huyu. Mwanamume mwenye taarifa ya ukweli aipeleke PCCB, Polisi na aweke ushahidi wazi. Tuache kumchafua kijana kwa sababu tu mzazi wake ni Mkuu wa nchi. Tuhuma bila ushahidi ni udikteta wa hali ya juu.
Inasikitisha watanzania hatudai uthibitisho kutoka kwa wanaoropoka majukwaani bila ushahidi. Watanzania ni wepesi kutuhumu bila ushahidi. Hizi ni tuhuma kama za HOTELI LAKAIRO zilizotolewa wakati wa uchaguzi uliopita. Tulidanganywa kuwa alikuwa Mwanza wakati ilikuwa ni uongo mtupu. Viongozi waandamizi wanapotoa tuhuma nzito bila ushahidi ni hatari kwa demokrasia. Hivi kwa nini tuhuma nzito zinatolewa katika mikutano ya kisiasa badala ya kupelekwa katika vyombo vya sheria? Siku moja watanzania watagundua uongo unaopikwa katika majukwa ya kisiasa na wanasiasa.
Du,mbona mapema sana
Du,mbona mapema sana