Utajiri wa Millard Ayo

Huyu kijana kwa kumuangalia tu anaonekana ni mtu poa,mwenye heshima, mnyenyekevu na ni mchapakazi.na ana focus na kazi.na pia kama sio mtu wa kuchepuka na anajua kum treat mwanamke
Mmh si mchepukaji
 
get life

Milard Ayo ni kijana mdogo sana, anaheshimu kila mtu, mchapa kazi na mbunifu

atafika mbali sana kikazi na kipesa

kwa sasa usimfananishe na akina Diamond na kama hao celebrity wengine ambao


Sorry wewe ni mkewe?.....Maana naona unatokwa povu nje ya mada
 
Ingia YOUTUBE uone alivyokuwa anaelezea hali ya maisha yake wakati anahangaika kutoka Kwao Kimara kwa Mama yake mdogo kuja Ubungo kuuza hayo Mayai kupata Pesa ambazo ziliweza kumsomesha mpaka alipofanikiwa na kupata Kazi Radio One / ITV. Kama niliyoyasema ni Uwongo basi na yeye mwenyewe alivyokuwa anazungumza katika ile INTERVIEW atakuwa ni MWONGO ALIYETUKUKA. Nimemaliza!
Achana nao hao watoto wavivu tu,sasa ukimwambia professor Beno Ndullu alikuwa centre forward wa kutisha wa timu inaitwa young kinya ya kariakoo,si atakuombea ban
 
Nimependa hapo kwenye rangi.

Na umbea wangu wote lakini Millard huwa nafurahishwa na kazi zake hadi nashindwa kumdukua.
Japo kuna machache nayafahamu ila kwa heshima yake ngoja niyaache chini ya kapeti.

Jamaa hana show off's za kijinga...ni vyema maisha yake tukayaacha private na kujadili kazi zake tu,
Asante.
 
I don't know the man.. huwa napatagapataga updates zake kwenye social networks. Ila baada ya kusoma huu uzi naweza ku m value kama mtu mwenye income potential ya almost 30-35 million per month. So kwa hiyo income na nikiangalia hali ya maisha ya kitanzania i place him kwenye top 5% of Tanzanians wenye maisha mazuri. To beat the 95% makes him filthy rich but within that 5% he is an average man. Thats what i can say.
 
Sorry wewe ni mkewe?.....Maana naona unatokwa povu nje ya mada

Ha ha , ndo jinsia yako? wewe ni mwanamke? maana huyo kijana ni mtoto mdogo sana tu, sasa kama unamwona CELEB haihitaji rocket science kujua uko obsessed naye

Soma post yangu, haina povu, ina ushauri na kukupa muono mpana

ukakimbilia kwenye insult! jaribu kuelewa mtu mkuu

hatuendi hivyo
 
Habari wakuu...

Tumezoea maceleb wengi wa bongo huwa hawafichi utajiri wao au mahusiano yao... Wengi wamekuwa wakifanya show off sana... Wengine hufikia hatua ya kukopa au hata kudanganya watu ilimradi aonekane ana pesa...

Sasa huyu jamaa Millard Ayo amekuwa msiri sana......Yaani mwenyewe anapiga mzigo tu utafkiri sio celeb wa Bongo....huyu jamaa msiri kupita maelezo.

Lakini pia natambua uwepo wa serikali ya wambea hapa nchini yenye wanachama kama warumi , Nifah na wengineo ambao sidhani kama huwa wanapitwa na jambo...

Sasa kuna wanaojua huyu dogo ana utajiri kiasi gani?.. Ikiwezekana picha ya Nyumba yake, gari yake na pia mahusiano yake... Ana date na nani?

Naomba kuwasilisha..

Ana-date na Alice Tupa (utani tu huu jamani).
 
Ana Kampuni yake iitwayo TZA, ameajiri wafanyakazi, reporters na waandishi wa habari, ana Mke aliyempata akiwa clouds Fm, yule demu alienda pale kwaajili ya kurecord tangazo ndio mchizi anasema alizimika na sauti yake so wakatafutana na ndo mpaka sasa ni wapenzi, Jamaa Ana website yake ya habari inayomuizngizia mamilioni ya pesa kupitia matangazo, pia ni partner wa Vodacom, na bila kusahau ameajiriwa cloudsFM... Hayo ni machache kati ya mengi ninayoyajua
Safi sana, wameoana lini?
 
yeah, Mkewe ni Marketing maneger wa kampuni flani kubwa tu, anayo nyuma Arusha, amewawezesha ndugu zake kibao, Kwenye kampuni yake ya TZA ameajiri wadogo zake kadhaa, Ni mfano wa kuigwa
Ndio huyo.kwenye tangazo la voda?

Btw, anatengeneza kiasi gani kwenye website?


Maana wengi manishia kusema tuu, millions bila kutaj haswa kiasi halisi ...
 
Ndio huyo.kwenye tangazo la voda?

Btw, anatengeneza kiasi gani kwenye website?


Maana wengi manishia kusema tuu, millions bila kutaj haswa kiasi halisi ...
Kuna uzi uliletwa hapa uliyabainisha yote hayo, nayeye ndio alikamata namba moja kwa website ya tanzania inayoingiza hela ndefu
 
Back
Top Bottom