hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 802
- 1,079
Naona watu wangu wa nguvu wanabishana kwa nguvu kuhusu mtu wao wa nguvu ""
Teh teh teh!! Ata mimihaaaaa lol mie mwenyewe nilitoamacho balaa
Mmh si mchepukajiHuyu kijana kwa kumuangalia tu anaonekana ni mtu poa,mwenye heshima, mnyenyekevu na ni mchapakazi.na ana focus na kazi.na pia kama sio mtu wa kuchepuka na anajua kum treat mwanamke
get life
Milard Ayo ni kijana mdogo sana, anaheshimu kila mtu, mchapa kazi na mbunifu
atafika mbali sana kikazi na kipesa
kwa sasa usimfananishe na akina Diamond na kama hao celebrity wengine ambao
Achana nao hao watoto wavivu tu,sasa ukimwambia professor Beno Ndullu alikuwa centre forward wa kutisha wa timu inaitwa young kinya ya kariakoo,si atakuombea banIngia YOUTUBE uone alivyokuwa anaelezea hali ya maisha yake wakati anahangaika kutoka Kwao Kimara kwa Mama yake mdogo kuja Ubungo kuuza hayo Mayai kupata Pesa ambazo ziliweza kumsomesha mpaka alipofanikiwa na kupata Kazi Radio One / ITV. Kama niliyoyasema ni Uwongo basi na yeye mwenyewe alivyokuwa anazungumza katika ile INTERVIEW atakuwa ni MWONGO ALIYETUKUKA. Nimemaliza!
Na umbea wangu wote lakini Millard huwa nafurahishwa na kazi zake hadi nashindwa kumdukua.
Japo kuna machache nayafahamu ila kwa heshima yake ngoja niyaache chini ya kapeti.
Jamaa hana show off's za kijinga...ni vyema maisha yake tukayaacha private na kujadili kazi zake tu,
Asante.
Sorry wewe ni mkewe?.....Maana naona unatokwa povu nje ya mada
Millard Ayo ana utajiri wa kutisha unaomkaribia bilionea Le Mutuz .
Habari wakuu...
Tumezoea maceleb wengi wa bongo huwa hawafichi utajiri wao au mahusiano yao... Wengi wamekuwa wakifanya show off sana... Wengine hufikia hatua ya kukopa au hata kudanganya watu ilimradi aonekane ana pesa...
Sasa huyu jamaa Millard Ayo amekuwa msiri sana......Yaani mwenyewe anapiga mzigo tu utafkiri sio celeb wa Bongo....huyu jamaa msiri kupita maelezo.
Lakini pia natambua uwepo wa serikali ya wambea hapa nchini yenye wanachama kama warumi , Nifah na wengineo ambao sidhani kama huwa wanapitwa na jambo...
Sasa kuna wanaojua huyu dogo ana utajiri kiasi gani?.. Ikiwezekana picha ya Nyumba yake, gari yake na pia mahusiano yake... Ana date na nani?
Naomba kuwasilisha..
Safi sana, wameoana lini?Ana Kampuni yake iitwayo TZA, ameajiri wafanyakazi, reporters na waandishi wa habari, ana Mke aliyempata akiwa clouds Fm, yule demu alienda pale kwaajili ya kurecord tangazo ndio mchizi anasema alizimika na sauti yake so wakatafutana na ndo mpaka sasa ni wapenzi, Jamaa Ana website yake ya habari inayomuizngizia mamilioni ya pesa kupitia matangazo, pia ni partner wa Vodacom, na bila kusahau ameajiriwa cloudsFM... Hayo ni machache kati ya mengi ninayoyajua
Ndio huyo.kwenye tangazo la voda?yeah, Mkewe ni Marketing maneger wa kampuni flani kubwa tu, anayo nyuma Arusha, amewawezesha ndugu zake kibao, Kwenye kampuni yake ya TZA ameajiri wadogo zake kadhaa, Ni mfano wa kuigwa
Kuna uzi uliletwa hapa uliyabainisha yote hayo, nayeye ndio alikamata namba moja kwa website ya tanzania inayoingiza hela ndefuNdio huyo.kwenye tangazo la voda?
Btw, anatengeneza kiasi gani kwenye website?
Maana wengi manishia kusema tuu, millions bila kutaj haswa kiasi halisi ...