DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni sheria ya kipumbavu yenye kulenga Nini.
Bilioni moja nayo hela
7. (a) maintains a standard of living above that which is properlycommensurate with his present or past lawful ilcome: (h) owns property disproportionate to his present or past lawful I income, unless lie gives a satisfactory explanation to the court as to how he was able to maintain such a standard of living or how such property came under his ownership.
 
- sheria yetu ya kuzuia na kupambana na rushwa, (the prevention and combating of corruption act) ya 2007, imesema kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa hadi uweze kutoa uthibitisho wa kumiliki hizo Mali, zingatia neno 'uthibitisho'
-sawa kuna mikopo, Swali linakuja una Mali za bilioni 1 na salary scale ya 1M Inaingia akilini? , Ila ukiweza kuthibitisha kuwa ukiweza vipi kumiliki Mali za bilioni 1 kwa salary ya 1m haina shida, uthibitisho unaweza ukawa mfano ulipata mikopo, ulipewa zawadi somewhere,kurithi nk
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Vp andre
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
W chenge umewahi kuwasanua tume ya maadili wachunguze mali zake?
 
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Prado na nyumba sio utajiri wewe ni mahitaji muhimu🤣🤣🤣🤣
 
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Kwa ninavyojua sisi waTanzania tulivyo, utakuta wewe ni askari mwenzio ila hauko kwenye mirija, unamchomea utambi, sema kama vipi kweli achunguzwe tu
 
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Acha wivu, wewe nenda kakimbie marathon 🏃. Mimi nilifikiri ni millionaire in usd. Kumbe Prado na forester. Ukitaka kuwa kama yeye mfuate jenga ukaribu atakuabia au utaona njia anazo tumia kuwa na unafuu wa maisha. Kama ingekuwa ni rushwa basi wote police wa hapo wangekuwa kama yeye na mada yako ingekuwa utajiri wa kutisha wa police wa eneo hilo.
 
Watashindwa KUtAJIRIKA WANAVYODHULUMU RAIA KWELI?
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
 
1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
Hivi polisi siyo mtumishi wa umma?kama kuna shida,afuatiliwe.
 
Lifestlyle audit , hili likifanyika sidhani kama kuna askari polisi atachomoka !
 
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Kwa utawala huu uliopo usitegemee hatua yoyote hata ya kuhamishwa tu hawa taichukua.
 
Back
Top Bottom