Wasiliana na wanaotafuta wanaume humu kuna wengine ni graduates wa education ingawa ni wachache sana na ni nadra kuwapata maana somehow wanasoko kuliko wengineMe natafuta Mke awe Na degree ya education.
Ha ha haWengine wanataka wasaidiwe kulipiwa deni la bodi ya mkopo
Kutwa watu wanafikiria wanawake tu mpaka kerowanawake tutakoma mpaka mwaka uishe kazi ipo
Kungekuwa na jinsia ya tatu tungepumuaKutwa watu wanafikiria wanawake tu mpaka kero
wanaume wananongwa km nini, kila kukicha wanawake wanawakewanawake tutakoma mpaka mwaka uishe kazi ipo
Uongo ukiandikwa na watu wengi.. Kuna kaukweli ndani yake...Makubwa
Tafiti ya kuamini kinachoandikwa na mtu usiemjua wala kujua kama taarifa alizoandika zina ukweli kwa % ngapi
Na tunakoelekea, ukisema tu una degree.. lazima barua toka bodi ya mikopo inayosema hudaiwi uwe nayo halafu ndo ifuatewanawake tutakoma mpaka mwaka uishe kazi ipo
ha haha haya banaNa tunakoelekea, ukisema tu una degree.. lazima barua toka bodi ya mikopo inayosema hudaiwi uwe nayo halafu ndo ifuate