UTAFITI: Wadada wanaotafuta mahusiano/ndoa JF wengi graduates

Good Father

JF-Expert Member
Feb 28, 2014
10,276
18,350
Habari zenu wana JF,

Kuna jambo nimeli observe kwa muda hapa JamiiForums nimeona wadada (zaidi ya 75%) wanaotafuta wachumba wa kiume, wadada hawa ni graduates kwanini hili lijajitokeza?

Kwamba graduates ndo hawaolewi mtaani au tatizo nini?
Kwanini wadada wa form 4 siwaoni wengi humu wakitafuta wachumba?, au form 6 au diploma?

Kwanini namba kubwa ni graduates?

Usiniulize kuhusu wanaume utafiti wangu haukujikita huko, nikiona inabidi nitafuatilia.

Nadhani kuna watu wanajua baadhi ya sababu kuhusiana na hili.

Tupeni majibu
 
Wengine wanataka wasaidiwe kulipiwa deni la bodi ya mkopo

Na tunakoelekea watu speed ya kuoa itapunguwa sana maisha ya kawaida kuna 18% bodi ya mikopo 15% bado vibenk uchwara vya kinafiki vilivopiga faida vinakudai pia
 
JF ni kijiwe cha wasomi mkuu, Home of Great Thinkers.

Ndiyo maana hata mijadala ya humu viongozi wa serikali, viongozi wa vyama vyote tawala na upinzani wanaikimbia.
 
Nadhani hata form 4, 6 au diploma wote hawa ni GRADUATES, isipokuwa hawapendi kujiweka hivyo maana wanaamini watapata wenza wao kabla hawajawa wazee. ni swala la Imani, matendo na muda ndivyo vinavyojaliwa. Hawapendi kukiri udhaifu mapema kama hao wengine
 
4M 4 na 4M 6 waache wasome bhana, elimu yenyewe ya kuunga unga.....Bado hata ukifaulu kwenda chuo. mkopo mzozo...
ukiponyoka pote uku mziki ajira sasa....!!! hapa ndo wazo la kuolewa huja kila kukicha kwa wadada, just kupata kitu cha kumkeep busy..... siunajua ndoa yenyewe ni kazi tosha...???? na kama haujui waulize walio oana..., et usipoacha fedha nyumbani nini kinatokea...??? jibu lake kama haujalipenda.... muulize mtu yeyote wa sheria kama kwa swala kama iloo kesi inafunguliwa au laaaaa....????
mapenzi yapo tuuu, ila kuwa idle smtimes kwa hawa dada zetu kunapelekea mtu akomaa na hilo linalowezekana....

vijana tuoe jamani....
 
Makubwa
Tafiti ya kuamini kinachoandikwa na mtu usiemjua wala kujua kama taarifa alizoandika zina ukweli kwa % ngapi
 
si wa darasa la 7 akili zinapigika na usakaji maisha bora yasiyo tegemezi

hao wamafunzwa kuwq ukikaa karibu na laptop mda wote itakuletea kila kitu miguuni c mchumba , kazi, pesa n.k
vyote huletwq kwa njia ya kukesha la laptop.


N.B acha uoga ukisikia digrii tafuta hela si la 7 au digrii wote tunataka PESAAAAA.
 
Back
Top Bottom