MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Hebu sikia mkuu! Kitu chenyewe kinaitwa "Utabiri". Kitu kilichotabiriwa maana yake chaweza kutokea au kinaweza kisitokee. Utabiri is not a certain foreseen event. Utabiri unaacha mwanya wa jambo kutotokea pia. Ndo maana unaitwa utabiri. Shida ya wengi wanataka utabiri uwe na jibu hakika, kamili, lisilo na mashaka. Huu si utabiri tena.
Sikulazimishi uamini hayo yaliyotabiriwa. Unaweza kuyabeza pia. Lakini unapoyabeza uwe na grounds badala ya kusema tu "hakuna kitu hapo". Huwezi kuyabeza tu kwa vile hakutaja jina la mtu, na hakusema tarehe.
Mkuu ina maana gani siyo lazima itokee? Kwa hiyo hata mimi nikitabiri vitu visipo tokea na mimi utaniita mtabiri? Si siyo lazima vitokee? Accuracy ya utabiri ndiyo inayo prove mtu katabiri au laa. Ndiyo maana nikasema mimi personally siamini kwa maana ukitabiri kitu in general chances are something related to it kitatokea. After all this is my personal feeling so sioni sababu ya wewe kujisumbua na mimi nafikiria nini. Mimi simbezi ndiyo maana nikasema mimi siamini so anayetaka kuamini na amini it is a personal choice. Sasa sioni why tubishani juu ya kitu ambacho mimi kama mimi nina uhuru wa kuamua kukiamini au la.