Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Nadhani Leo hakuna doubt kuwa Al ahly wako home ground so ule uchawi wa makolo uliozuia magoli 5 ya Al ahly haupo kama mnavyojua uchawi haupandi ndege za mzungu
Hivyo basi Kwa uchambuzi niliofanya naona kabisa kolo anaenda kula mvua ya magoli 6+. Nini kifanyike??
Kwakweli hapa hamna njia yeyote ya kuescape kikombe hiki.....hata mkipaki basi ....haita badilika kikubwa tujiandae kisaikolojia
Hivyo basi Kwa uchambuzi niliofanya naona kabisa kolo anaenda kula mvua ya magoli 6+. Nini kifanyike??
Kwakweli hapa hamna njia yeyote ya kuescape kikombe hiki.....hata mkipaki basi ....haita badilika kikubwa tujiandae kisaikolojia