Utabiri wa JK kupata tuzo ya MO Ibrahim akistaafu

Sungurampole

JF-Expert Member
Nov 17, 2007
984
205
Haya nimemsoma leo toka kwa mwandishi mmoja wa hoja ya mzalendo(MTANZANIA 16.10)
Tunajua vigezo vya tuzo ni rais mstaafu aliyesaidia nchi yake kuwa mfano mzuri wa kuigwa kwa utawala bora, kuheshimu haki za binadamu ustawi wa demokrasia na maendeleo ya uchumi. Mwandishi huyu anaposema Jk ana dalili za kutwaa ushindi wa tuzo hiyo atakapostaafu 2016 sijui anakiamini anachokisema au anadhihaki tu. Anazungumzia Jk kuruhusu uhuru mkubwa kwa watu kuwa na uhuru wa kuisema serikali, kukua kwa upinzani na kuwa na uchaguzi huru na haki. Anasema Haki za binadamu zimepewa nafasi kubwa katika uongozi wa Jk. Amezungumzia mengi ambayo mengi ni kichefuchefu mfano kuwa Jk amekua na ujasiri wa kufikisha viongozi wa nyadhifa kubwa washtakiwae mahakamani kwa ufisadi. Wote tunajua nchi hii ina hali mbaya kila upande nchi ambayo kwa sasa :

· Wanayama pori wanaibiwa mchana kweupe na hakuna maelezo
· Katibu mkuu anachangisha fedha ili kutoa rushwa na bado anapeta
· Watanzania wanauwawa na hakuna anayewajibika
· Mchakato wa kuandaa katiba unavurugwa kwa makusudi na hakuna anayejali
· Mali zetu zinaporwa na mfano nyumba za serikali na hakuna anayewajibika
· Wezi wanatunyanganya rasilimali na wanalindwa na sheria na nchi iko kimya, inatuvizia tukupiga kelele wanabadilika mfano – Malipo ya Dowans
· Matumizi mabaya Madaraka:- Wauaji/na wezi wanasamehewa adahabu za kifo na kupewa kifungo kifupi- kwa JK naye kaja na yake ya kusamehe wezi wa EPA (Ikulu haitoi habari wala ufafanuzi kuhusu usahihi wa hatua husika bali wao watuambia siyo JK ni Mkapa, hawasemi wao wanalionaje hilo?)
· Kigugumizi cha kuwachukulia hatua wezi wa Kagoda
· Mapungufu ya wazi na ya makusudi katika chaguzi
· Sheria zinapitishwa kwa manufaa ya watu wan je na siyo watanzania
· Ufisadi umekuwa ni itikadi ya nchi na hakuna anayewajibika
· Uzalendo na utaifa vimekufa na watu wanahamasisha udini, ukabila na ukanda waziwazi na hakuna kiongozi anayekemea na kwa maana nyingine wanayabariki yote
· Wezi wa EPA wanapewa amnesty kuwa warudishe fedha na hawatashughulikiwa kisheria na pia watanzania hawajulishwi kuhusu hii sheria mpya kwa wezi na ikiwezekana iongezwe katika sheria zetu za makosa ya jinai.

Hivi wewe huoni kuwa badala ya kutoa habari serikali inahangaika kuzuia yasijukane? Hivi utabiri huu unaupata katika njozi au wapi?

Nawasilisha!
 
Hayo yalikuwa maoni yake.
Hata kila mtu anaweza kusema anatabiri.
Kuna yule mtu alitabiri kuwa May 21 itakuwa siku ya mwisho na haikuwa.
Alafu ukizungumzia hizi tuzo za Mo Ibrahim,kumbuka wanaofanya maamuzi ni wanadamu kama wewe na mimi. Hivyo lolote lile linaweza kuwa. Kumbuka kuwa uongozi bora hauthibitishwi na tuzo,bali unathibitishwa kwa matendo,na yale ambayo watu unaowaongoza wanayasema.
 
Nimefurahisha na post kwamba hata Bambo atapewa tuzo..... Ina maana JK na Bambo ni sawa na alama hii JK< Bambo ??? Mathematicians mtanisaidia..
 
JK akipewa hiyo tuzo hata umaana wa tuzo utapotea!!!!!!!! And I don't think Mo Ibrahim is ready kuona relevance ya tuzo yao inapotea kirahisirahisi tu.
 
Hapa pazito kwa kweli kama Bambo atapata basi Nape pia au Omar Mahita kwa kazi kusema KAFU wana mapanga Au mbunge wa Mtera anaitwa nani huyu ?
 
Dr Salim Ahmed Salim si mtu wa visasi hata kidogo. Lakini tuhuma alizozushiwa wakati wa kugombea urais wakichuana na JK mwaka 2005 hata ungekuwa wewe zingekuumiza. Kwa sasa ndiyo mwenyekiti wa hiyo kamati inayochagua nani apewe hayo mabillioni ya Mo Ibrahim
 
Anajipendekeza si unajua kuna post wanapewa waandishi wa habari kama ukuu wa wilaya n.k
Sasa wewe unadhani pasi kumsifia mkuu wa kaya atajulikana vipi?
 
Dr Salim Ahmed Salim si mtu wa visasi hata kidogo. Lakini tuhuma alizozushiwa wakati wa kugombea urais wakichuana na JK mwaka 2005 hata ungekuwa wewe zingekuumiza. Kwa sasa ndiyo mwenyekiti wa hiyo kamati inayochagua nani apewe hayo mabillioni ya Mo Ibrahim

Pqtqmu hapo!
 
Haya nimemsoma leo toka kwa mwandishi mmoja wa hoja ya mzalendo(MTANZANIA 16.10)
Tunajua vigezo vya tuzo ni rais mstaafu aliyesaidia nchi yake kuwa mfano mzuri wa kuigwa kwa utawala bora, kuheshimu haki za binadamu ustawi wa demokrasia na maendeleo ya uchumi. Mwandishi huyu anaposema Jk ana dalili za kutwaa ushindi wa tuzo hiyo atakapostaafu 2016 sijui anakiamini anachokisema au anadhihaki tu. Anazungumzia Jk kuruhusu uhuru mkubwa kwa watu kuwa na uhuru wa kuisema serikali, kukua kwa upinzani na kuwa na uchaguzi huru na haki. Anasema Haki za binadamu zimepewa nafasi kubwa katika uongozi wa Jk. Amezungumzia mengi ambayo mengi ni kichefuchefu mfano kuwa Jk amekua na ujasiri wa kufikisha viongozi wa nyadhifa kubwa washtakiwae mahakamani kwa ufisadi. Wote tunajua nchi hii ina hali mbaya kila upande nchi ambayo kwa sasa :

· Wanayama pori wanaibiwa mchana kweupe na hakuna maelezo
· Katibu mkuu anachangisha fedha ili kutoa rushwa na bado anapeta
· Watanzania wanauwawa na hakuna anayewajibika
· Mchakato wa kuandaa katiba unavurugwa kwa makusudi na hakuna anayejali
· Mali zetu zinaporwa na mfano nyumba za serikali na hakuna anayewajibika
· Wezi wanatunyanganya rasilimali na wanalindwa na sheria na nchi iko kimya, inatuvizia tukupiga kelele wanabadilika mfano  Malipo ya Dowans
· Matumizi mabaya Madaraka:- Wauaji/na wezi wanasamehewa adahabu za kifo na kupewa kifungo kifupi- kwa JK naye kaja na yake ya kusamehe wezi wa EPA (Ikulu haitoi habari wala ufafanuzi kuhusu usahihi wa hatua husika bali wao watuambia siyo JK ni Mkapa, hawasemi wao wanalionaje hilo?)
· Kigugumizi cha kuwachukulia hatua wezi wa Kagoda
· Mapungufu ya wazi na ya makusudi katika chaguzi
· Sheria zinapitishwa kwa manufaa ya watu wan je na siyo watanzania
· Ufisadi umekuwa ni itikadi ya nchi na hakuna anayewajibika
· Uzalendo na utaifa vimekufa na watu wanahamasisha udini, ukabila na ukanda waziwazi na hakuna kiongozi anayekemea na kwa maana nyingine wanayabariki yote
· Wezi wa EPA wanapewa amnesty kuwa warudishe fedha na hawatashughulikiwa kisheria na pia watanzania hawajulishwi kuhusu hii sheria mpya kwa wezi na ikiwezekana iongezwe katika sheria zetu za makosa ya jinai.

Hivi wewe huoni kuwa badala ya kutoa habari serikali inahangaika kuzuia yasijukane? Hivi utabiri huu unaupata katika njozi au wapi?

Nawasilisha!

Na mimi natabiri: kabla hata hiyo tuzo haijatolewa huyu Vasco Da Gamma atakuwa ukonga akinyea ndoo....!
 
Kama tuzo ni zakuchezea,Basi huyo JK wenu atapata.Kazi kwelikweli kuongozwa na JK ni sawa na kuongozwa na kipofu
 
Haya nimemsoma leo toka kwa mwandishi mmoja wa hoja ya mzalendo(MTANZANIA 16.10)
Tunajua vigezo vya tuzo ni rais mstaafu aliyesaidia nchi yake kuwa mfano mzuri wa kuigwa kwa utawala bora, kuheshimu haki za binadamu ustawi wa demokrasia na maendeleo ya uchumi. Mwandishi huyu anaposema Jk ana dalili za kutwaa ushindi wa tuzo hiyo atakapostaafu 2016 sijui anakiamini anachokisema au anadhihaki tu. Anazungumzia Jk kuruhusu uhuru mkubwa kwa watu kuwa na uhuru wa kuisema serikali, kukua kwa upinzani na kuwa na uchaguzi huru na haki. Anasema Haki za binadamu zimepewa nafasi kubwa katika uongozi wa Jk. Amezungumzia mengi ambayo mengi ni kichefuchefu mfano kuwa Jk amekua na ujasiri wa kufikisha viongozi wa nyadhifa kubwa washtakiwae mahakamani kwa ufisadi. Wote tunajua nchi hii ina hali mbaya kila upande nchi ambayo kwa sasa :

· Wanayama pori wanaibiwa mchana kweupe na hakuna maelezo
· Katibu mkuu anachangisha fedha ili kutoa rushwa na bado anapeta
· Watanzania wanauwawa na hakuna anayewajibika
· Mchakato wa kuandaa katiba unavurugwa kwa makusudi na hakuna anayejali
· Mali zetu zinaporwa na mfano nyumba za serikali na hakuna anayewajibika
· Wezi wanatunyanganya rasilimali na wanalindwa na sheria na nchi iko kimya, inatuvizia tukupiga kelele wanabadilika mfano – Malipo ya Dowans
· Matumizi mabaya Madaraka:- Wauaji/na wezi wanasamehewa adahabu za kifo na kupewa kifungo kifupi- kwa JK naye kaja na yake ya kusamehe wezi wa EPA (Ikulu haitoi habari wala ufafanuzi kuhusu usahihi wa hatua husika bali wao watuambia siyo JK ni Mkapa, hawasemi wao wanalionaje hilo?)
· Kigugumizi cha kuwachukulia hatua wezi wa Kagoda
· Mapungufu ya wazi na ya makusudi katika chaguzi
· Sheria zinapitishwa kwa manufaa ya watu wan je na siyo watanzania
· Ufisadi umekuwa ni itikadi ya nchi na hakuna anayewajibika
· Uzalendo na utaifa vimekufa na watu wanahamasisha udini, ukabila na ukanda waziwazi na hakuna kiongozi anayekemea na kwa maana nyingine wanayabariki yote
· Wezi wa EPA wanapewa amnesty kuwa warudishe fedha na hawatashughulikiwa kisheria na pia watanzania hawajulishwi kuhusu hii sheria mpya kwa wezi na ikiwezekana iongezwe katika sheria zetu za makosa ya jinai.

Hivi wewe huoni kuwa badala ya kutoa habari serikali inahangaika kuzuia yasijukane? Hivi utabiri huu unaupata katika njozi au wapi?

Nawasilisha!

Fikiria kabla ya kuandika nyie ndio ambao mnaqifanya hii JF kwa sasa ionekane ni sehemu ya watu kubwabwaja na kujiondolea ile sifa yake ya Great Thinkers. Hata hao walio pewa ni binaadamu na kuna makosa walifanya km hayo kwenye nchi zao , sio kwamba walikuwa clean 100% , hakuna binaadamu wa hivyo labda sasa useme wenye kupewa tunzo hiyo ni malaika tutakuelewa.
 
Back
Top Bottom