Yaani hawa jamaa hata siwaelewi, nawaomba ndugu zangu tusiwaamini hundred percent.
Wana uhakika?
Wapuuzi kabisa hawa kwa nini hawakusema juzi ili tujiandae kuhama,baada ya kuona imemwagika kwa wingi ndio wanasema itaendelea kwa siku mbili pambafuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanabahatisha hao mr. Bajabiri.
Hapo safari na semina kila kukicha. Nchi ningine mtu ameshajiuzulu hapo, lakini hapa kwetu bora liende.
Wapuuzi kabisa hawa kwa nini hawakusema juzi ili tujiandae kuhama,baada ya kuona imemwagika kwa wingi ndio wanasema itaendelea kwa siku mbili pambafuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!
Wapuuzi kabisa hawa kwa nini hawakusema juzi ili tujiandae kuhama,baada ya kuona imemwagika kwa wingi ndio wanasema itaendelea kwa siku mbili pambafuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!