Kama 2026 ni mwaka wa kupatikana na kukamilika KATIBA mpya,
Ni dhahiri 2025 hapatakuwa na uchaguzi wowote wa HAKI Kutoa mshindi.
Ni sawa na kusema Uchaguzi hautofanyika.
Hivyo unaweza kuwa sawa ingawa,
Wa kwanza HATOGOMBEA labda umlazimishe wewe kwenye chama chako kipya.
Ni dhahiri 2025 hapatakuwa na uchaguzi wowote wa HAKI Kutoa mshindi.
Ni sawa na kusema Uchaguzi hautofanyika.
Hivyo unaweza kuwa sawa ingawa,
Wa kwanza HATOGOMBEA labda umlazimishe wewe kwenye chama chako kipya.