Utabiri uchaguzi mkuu 2025

Tatizo la vyama vya upinzani hawana watu wa mikakati imala, hawana misimamo madhubuti.wala malengo.
Nakumbuka kipindi magufuri anaingia madalakani miji mingi ilipata kushikwa na vyama vya upinzani.wakati wanachakua mameya, ccm waliwabana kwa figisu, wapinzani walipogundua figisu ccm wakasema msiwafanyie figisu waacheni hiyo ni haki yao, vyama upinzani vikafuraahi hawakujua wenzao wamepanga nini.
Mwisho wasiku wanabadilisha mfumo mzima wa TAMISEMI badala ya kua kwa wazili mkuu imerudishwa kwa Rais.
Wamejikuta mameya , madiwani oote wamebaki hawana kazi ya kufanya. Maelekezo ya TAMISEMi yoote yanatoka kwenye utawala. Hiyo ndio ccm. Kuweza kuwadhibiti ccm hadi kizazi fulani kifutike lakini sio kilahisi hivyo.
Una hoja katika baadhi ya maeneo.
 
HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.

(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.

(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%

Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.

(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO

(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%

Spika wa Bunge Zitto Kabwe.

MWISHO WA UTABIRI
Wewe ndo walewale , hakuna utabiri sema wenda umeongea nini mnapanga, safari hii uchaguzi ukifanyika mtajua hamjui , ccm haipo na Kibali cha kutawa kilisha futwa ,asema Bwana
 
Wewe ndo walewale , hakuna utabiri sema wenda umeongea nini mnapanga, safari hii uchaguzi ukifanyika mtajua hamjui , ccm haipo na Kibali cha kutawa kilisha futwa ,asema Bwana
Mimi sio "walewale" huu ni utabiri huru ikiwa kila kitu kibaki constant hadi wakati huo.
 
Huu ni ujinga kama ujinga mwingine, utabiri kwa kutumia kanuni ipi ya kiroho

Ulichokifanya ni ubashiri (betting) kutokana na fikra zako mwenyewe na baada ya kuwasoma watu uliotaja.

Hangaya hawezi kupata hata asilimia 25% ya kura zote labda kura za maruhani wa Unguja kusini
Wewe pia umebashiri,niambie umetumia utafiti upi kujua huyo Hangaya unayemsema hapati 25% ya kura?
 
HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.

(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.

(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%

Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.

(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO

(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%

Spika wa Bunge Zitto Kabwe.

MWISHO WA UTABIRI
Hii ndio hasara ya kulala uchi Kama mchawi! Mwisho unaota ndoto za kichawi Kama hii,walau unavaa hata chp.
 
Ushindi ni zaidi ya kura za urais.
Kuwekeza nguvu kubwa kwenye urais hakuna maana kama utapata chini 35% ya wabunge.

Chama kitakachotoa rais na wakati huo huo kimeambulia chini ya 35% ya wabunge kitateseka sana kwenye uongozi wake.
 
HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.

(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.

(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%

Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.

(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO

(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%

Spika wa Bunge Zitto Kabwe.

MWISHO WA UTABIRI
Samia atashinda hata bila duri ya pili,huyo Lisu mnampaisha Bure tuu 😁😁
 
Ushindi ni zaidi ya kura za urais.
Kuwekeza nguvu kubwa kwenye urais hakuna maana kama utapata chini 35% ya wabunge.

Chama kitakachotoa rais na wakati huo huo kimeambulia chini ya 35% ya wabunge kitateseka sana kwenye uongozi wake.
Na Kwa Wabunge Chadema haiwezi kushinda ccm 🤣🤣
 
Tatizo la vyama vya upinzani hawana watu wa mikakati imala, hawana misimamo madhubuti.wala malengo.
Nakumbuka kipindi magufuri anaingia madalakani miji mingi ilipata kushikwa na vyama vya upinzani.wakati wanachakua mameya, ccm waliwabana kwa figisu, wapinzani walipogundua figisu ccm wakasema msiwafanyie figisu waacheni hiyo ni haki yao, vyama upinzani vikafuraahi hawakujua wenzao wamepanga nini.
Mwisho wasiku wanabadilisha mfumo mzima wa TAMISEMI badala ya kua kwa wazili mkuu imerudishwa kwa Rais.
Wamejikuta mameya , madiwani oote wamebaki hawana kazi ya kufanya. Maelekezo ya TAMISEMi yoote yanatoka kwenye utawala. Hiyo ndio ccm. Kuweza kuwadhibiti ccm hadi kizazi fulani kifutike lakini sio kilahisi hivyo.
Wanaota 😂😂
 
Utab
HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.

(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.

(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%

Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.

(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO

(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%

Spika wa Bunge Zitto Kabwe.

MWISHO WA UTABIRI

UTABIRI Fweki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom