yule mtabiri wa vifo vya wengine aka-shindwa kutabiri chake?.Ndo alimpa ulinzi usio-onekana kwa macho zaifu.....lol.
ivi sheikh yahya aliacha mrithi?JUMATATU, JANUARI 07, 2013 04:48 NA KHAMIS MKOTYA
*Sheikh asema atashinda kwa nguvu kubwa
*Awakata maini Lowassa, Membe, Sitta, Dk. Slaa
MWENYEKITI wa Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary, Sheikh Khalifa Khamis, amejitokeza hadharani na kutabiri matukio yatakayojiri mwaka huu kuelekea mwaka 2015.
ivi sheikh yahya aliacha mrithi?
Amemmaliza wala si debe
Kwahiyo ni DEBE kwa ASHA ROSE MIGIRO????
ivi sheikh yahya aliacha mrithi?
Watanzania wazalendo tuyapige vita haya magazeti maana yanazidi kuhatarisha muungano wetu, mbona ni Laigwanan na mzee wa mambo ya nje tuu? Kwani wenzetu wamegoma?Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.
Source: Magazeti ya leo kama vile Majira na Jambo Leo
umefurahi mkuu wangu??tafadhali usi qoute taarifa nzima ya mleta mada.edit plz, unatu bore mno.
Taifa la waabudu uchawi na unajimu wa kichawi
ivi sheikh yahya aliacha mrithi?[/QUOT
Hao ni DUGU moja,yule NYOTA huyu KUAMBIWA (NDOTO a.k.a MAJINI),wafuga wanyama hewa mnashida......!,mwenzie alitisha mpinzani wa DHAIFU atakufa matokeo yake akafa yeye SASA kaibuka mwingine,mmmmh! nchi ya KISHIRIKINA maendeleo kuja ni jambo adimu sana mara sheikh(marehemu) katoa ulinzi usio onekana kwa macho,mara kikombe loliondo kwa BABU.
- Tuachanani na hawa MASHIRIKINA wanaturudisha nyuma kwa sababu za kijinga tu.naviongozi wetu nao ndo hao hao walala makaburini.tuondoe hizi takataka.
Tulisha ingia aibu ya karne pale kituo cha CNN kilipo fanya utafiti juu ya Ushirikina Vs Tekinokogia Kwa ukanda wa Afrika Mashariki,MAJIBU yake NI AIBU kwa TAIFA letu,KENYA waliongoza kwa technology wakati TANZANIA iliongoza kwa ushirikina(73% ya raia wote ni washirikina),wakati huo huo tukienda kwenye maendeleo kwa ujumla TANZANIA ya mwisho-
USHAURI:
TUPO JUU KISHIRIKINA ila TUPO CHINI KIMAENDELEO means kufuga majini HAKUTUSAIDIA ni bora TWENDENI SHULE tuajaribu sayansi/Elimu.TUWAKATAE WAFUGA MAJINI na tabiri zao+Watengeneza VIKOMBE na ulaghai wao.-
nchi hii bwana ina vichekesho sana ...Yaani atakuwa kama alivyo spika makinda au ..hahaaaaa ...bado sana
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.
Source: Magazeti ya leo.