Kwenye ulimwengu wa Waislamu, Rais Samia Suluhu ni Mwanamke wa nne Duniani kushika nafasi ya Urais

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,893
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha


ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais. Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa, kisha
ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,
alafu
ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Una mjua Megawati soekarnoputri? huyu alikuwa Musilm ingawa libadilisha Dini na kuwa Hondusim, Huyu mwana mama ametawala Indonesia nchi yenye Idadi kubwa ya Waislam Duniani, kama hujui Indonesia ndio nchi yenye Isadi kubwa ya Waislam Duniani.
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa yaU urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais. Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa, kisha
ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,
alafu
ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Si hivo tu!
NI KIONGOZI KWELI KWELI!

Kwa siasa za Tanzania na Africa ya Mashariki kwa sasa ni dhahiri kwamba tunaye Rais!

Hii ni Ngumu kwa watu wa kawaida kuelewa lakini tunaye Rais bora kabisa!

Her best Objectives:

4 Rs!



Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha


ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Ila Mimi Bado namkubali Benazir Bhuto ingawa hakuwa Rais Bali PM.
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha

ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Rais dhaifu zaidi toka uhuru.
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha

ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Tanzania siyo nchi ya kiislamu
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha

ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
 
Kwema Wakuu!

Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu hasa ya Urais.

Lakini Tanzania inakuwa moja ya nchi za awali kuweka rekodi ya kihistoria hasa katika ulimwengu wa kiislamu, kwa Samia kushika nafasi ya urais.

Akitanguliwa na
AMEENAH FAKIM, Rais wa Mauritius, 2015 – mpaka sasa,

Kisha

ROZA OTUNBAYEVA, Rais wa Kyrgyzstan, 2010-2011,

Halafu

ATIFETE JAHJAGA, President of Kosovo, 2011-present,


Hii ní rekodi ambayo kila baba angetamani itimizwe na binti yake. Hongera sana Rais Samia. Sio jambo dogo.

Jioni njema
Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
 
Mkuu mbona hujaziweka Pakistan na Bangladesh?,nchi zote hizo ni nchi za kiislam na zilisha tawaliwa na wanawake, na mpaka sasa Bangladesh inatawaliwa na mwanamke sema na yeye anaitawala kibabe maana ni mwaka wa 15 yuko madaraka na hana mpango wa kuondoka.
 
Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
Inawezekana huna dini hivyo hujui chochote kuhusu dini , hakuna dini yeyote inayo mruhusu mwanamke kuwa kiongozi kwenye masuala ya dini kuanzia Wakristo, Waisilam,wahindu, Wayahudi,Wabudha na kn.
Kwa hiyo usitake kuanzisha mijada ya kejeli za kipumbavu.
 
Back
Top Bottom