Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,749
- 5,582
Amka mkuu kuna kiuharo huko kwenye kifimbi chako.
Hapana mkuu...nishaamka kitamboAmka mkuu kuna kiuharo huko kwenye kifimbi chako.
Yaaah nikweli mkuuSimba ni chama langu,lakini kwa mpira wa papatu papatu tunaocheza leo kazi tunayo! Wale jamaa tusiwachukulie poa..tusiingie na matokeo mfukoni..
Umaarufu nnao wa kutoshaUtabiri Gani uliotabili au Ndio kutafta umarufu wakijinga
Tulia hapo hapo mkuu🤒
haya bwana ako anakandwa huku kachanganyikiwa hajui ashike wapi
Uliomba BAN na Upigwe mpira ukiisha hivi.
JF imevamiwa na watoto wa FacebookJapo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni sangap sasa na zinasikika kelele gan hapo ulipo.Japo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app