Hewa mkaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 742
- 377
Mateso ni makubwa. Tunateswa makusudi upande wa kutoa leseni za udereva. Tangu asubuhi ni watu 2 wamepewa leseni tena wanawake. Vishoka nao ni wengi wanaingilia utaratibu. Tafadhali wahusika waziri Mpango tusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app