Mimi uso wangu una mafuta pia na nilikuwa na vitobo vikubwa tu! Nimetumia EPLECIDER sijui kama bongo ipo ndani ya miezi mitatu vitobo vimepungua mno yaani vimebaki kwa mbali na vidogo vidogo sana! Natumia pia lotion na Gel ya alovera!Habari zenu wana JF nina ndugu yangu ana uso wa namna hiyo msaada maana uso wake una mafuta mengi black spot n vitobo vitobo dawa yake ni nini????View attachment 404777
Umeinunua wapi????Mimi uso wangu una mafuta pia na nilikuwa na vitobo vikubwa tu! Nimetumia EPLECIDER sijui kama bongo ipo ndani ya miezi mitatu vitobo vimepungua mno yaani vimebaki kwa mbali na vidogo vidogo sana! Natumia pia lotion na Gel ya alovera!
Umeinunua wapi????
Kwa sasa niko Norway niliinunulia huku! Nadhani hata bongo unaweza kupata! Angalia kwenye hizi big supper market lazima itakwepo ! itakuwa imeandikwa APPLE CIDER VINEGAR! kwa maelezo zaidi google "apple cider vinegar + face skin"! Utapata maelezo kibao! Jinsi ya kutumia na faida zake hasa kupunguza facial poles!
Mbona zipo mae, au nazo ni fake mweeeeh!!ukija bongo nikuagize........tatizo huku vitu fake kibao
Mai acha kurusha ndege wa mtu! Nadhani hiyo BLESSEDLADY hatasikia. Huku bongo huwezi kuzipata hata ukiwa na dollar. Ni bora ukamleteaMbona zipo mae, au nazo ni fake mweeeeh!!
Oooh!! OkeyMai acha kurusha ndege wa mtu! Nadhani hiyo BLESSEDLADY hatasikia. Huku bongo huwezi kuzipata hata ukiwa na dollar. Ni bora ukamletea
kama apple cider ni dawa nenda supermarket utazipata mfano; american garden apple cider.Umeinunua wapi????
Wewe mbingu duniani mbona uso wako nyororo sana hapo naona au unamuagizia jiraniukija bongo nikuagize........tatizo huku vitu fake kibao
Jaribu pia kila siku usiku kabla hujaenda kulala uwe unanawa uso bila sabuni itakusaidia!Habari zenu wana JF nina ndugu yangu ana uso wa namna hiyo msaada maana uso wake una mafuta mengi black spot n vitobo vitobo dawa yake ni nini????View attachment 404777
Be blessed mkuu maana si ajabu kwa kumtetea Heaven on Earth anaweza akanifikiria nikaondokana na ulemavu huu unaonisumbua ref: Utafiti wa WHO... kutokuwa na mpenz kwa sasa kutahesabiwa kama ulemavuOooh!! Okey
Haya.Be blessed mkuu maana si ajabu kwa kumtetea Heaven on Earth anaweza akanifikiria nikaondokana na ulemavu huu unaonisumbua ref: Utafiti wa WHO... kutokuwa na mpenz kwa sasa kutahesabiwa kama ulemavu