Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,604
lakini you must admit alikuwa star mkubwa enzi zake na weusi wengi tulijivunia about his success. Au umesahau, bana?
Hapana sijasahau. Ni kweli alikuwa nyota mkubwa enzi zake na alikuwa na crossover success na ni Wamarekani wengi (weusi kwa weupe) waliokuwa wakijivunia success yake. Pia ame-influence wasanii wengine wengi tu (weusi kwa weupe).
Mi nakutaka tu uachane na hii dhana ya "sisi weusi" kila wakati na katika kila kitu. Acha kuangalia kila kitu kupitia mwanga wa rangi ya ngozi ya mtu.