Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,956 22,150 Mar 28, 2010 #1 unanuna nini sasa hao hao unaowaamini ndio wanakuharibia ndoa yako uhusiano wako hao hao unaowaona mabinti wazuri JF hao hao ndio mibaba ya shavu... watch out!!@@@
unanuna nini sasa hao hao unaowaamini ndio wanakuharibia ndoa yako uhusiano wako hao hao unaowaona mabinti wazuri JF hao hao ndio mibaba ya shavu... watch out!!@@@
Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,956 22,150 Mar 28, 2010 Thread starter #3 Kuna wengine wanakimbilia " i luv u" i miss u weee unaweza kum luv mtu jf..shika ikushike..... Wewe rafiki yako anamuita mumeo bar unadai aaah awezi fanya kitu lohhh huyo huyo anakumaliza
Kuna wengine wanakimbilia " i luv u" i miss u weee unaweza kum luv mtu jf..shika ikushike..... Wewe rafiki yako anamuita mumeo bar unadai aaah awezi fanya kitu lohhh huyo huyo anakumaliza
Janjaweed JF-Expert Member Jan 20, 2010 13,157 10,655 Mar 28, 2010 #4 hii thread mbona kama haieleweki?
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Mar 29, 2010 #5 Janjaweed said: hii thread mbona kama haieleweki? Click to expand... Haieleweki au huielewi?
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Mar 29, 2010 #6 heheheheh naona leo umeamua kupasua jipu .. aliesema kikulacho ki nguoni mwako hakukosea
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Mar 29, 2010 #7 Ndibalema said: Haieleweki au huielewi? Click to expand... and the vice versa is true. Mama Mia and Mwanahalisi; daladala hili laelekea wapi maaana halina rangi ubavuni na konda yuko kimya!
Ndibalema said: Haieleweki au huielewi? Click to expand... and the vice versa is true. Mama Mia and Mwanahalisi; daladala hili laelekea wapi maaana halina rangi ubavuni na konda yuko kimya!
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,926 31,169 Mar 29, 2010 #8 Janjaweed said: hii thread mbona kama haieleweki? Click to expand... Mimi ndio sielewi kitu hapa,ngoja nikimbilie kwenye thread nyingine.
Janjaweed said: hii thread mbona kama haieleweki? Click to expand... Mimi ndio sielewi kitu hapa,ngoja nikimbilie kwenye thread nyingine.