safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,169
- 15,851
Wakuu kuwasaidia wazazi wetu tusisubiri simu ya haloo baba tunashida huku,alafu wewe ndo unatuma alfu kumi,sio busara. Ukipata chochote tuma japo 10% ya ulichopata sio mpaka wakuombe,nao watu wale wanaonaga jau kuomba kila mara.
Usisubiri upate laki ndo utume alfu 30, wewe umepata kidogo tuma kidogo watajua kuwa dogo anatujali, huongeza baraka sana. Wakati mwingine hasa baba zetu wanaona shida kuomba pesa kwa dogo kila time badala yake wanakufa na tai shingoni huku dogo akisubiri kupogiwa simu kuombwa.
Kama ambavyo utotoni ulikuwa hupeleki maombi ya kula mchana na jioni,wewe ulikula bila kuomba kwa sababu wazee walikuthamini.
Kumthamini mtu zaidi ni kumpa kabla hajakuomba.
Usisubiri upate laki ndo utume alfu 30, wewe umepata kidogo tuma kidogo watajua kuwa dogo anatujali, huongeza baraka sana. Wakati mwingine hasa baba zetu wanaona shida kuomba pesa kwa dogo kila time badala yake wanakufa na tai shingoni huku dogo akisubiri kupogiwa simu kuombwa.
Kama ambavyo utotoni ulikuwa hupeleki maombi ya kula mchana na jioni,wewe ulikula bila kuomba kwa sababu wazee walikuthamini.
Kumthamini mtu zaidi ni kumpa kabla hajakuomba.