ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,989
- 46,096
Nachokisema Nina uzoefu nacho sana nataka ujue ukweli kwanini mtu anafikia hatua anakunywa pombe kila siku na mtu wa hivyo usimdharau jua anakumbwa sana na changamoto ya kukosa usingizi usiku anakumbana na sleep paralysis inayomtesa sana kuacha pombe inahitaji msaada sio wote wanakunywa ukaona wanafanya starehe lile vibe ni matokeo tu Ila nyuma ya unywaji ni insomnia.