selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
basi kutoka pande za morogoro maeneo ya kihonda asikwambie m2 kuna mwana mmoja ni mbishi ile mbaya,sasa day moja c ndo akaamka mapema sana afu akawasha moto nini afanye mpango wa menyu sasa kujisachi c ndo hana ki2 mwanaADAM,kucheki ghetto kuna viatu vya long sanaaa,haina ubob junior msela akakata vipande kama vya nyama kisha aka2pia sufuriani na chumvi juu.mimi nilimkuta anamalizia kamba za via2