Usimuone vile!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
...amesoma sana,ana PHD yule! Yaani P.H.D=Passed with High Difficulty!
 
...amefanikiwa sana kwa sababu alikuwa anajituma sana kazini.Kutokana na kufanya kazi kwa bidii,John ana akiba ya milioni 15 benki.Kati ya hizo milioni 15,milioni 14.8 alizipata kama urithi baada ya kifo cha mjomba wake.
 
...amefanikiwa sana kwa sababu alikuwa anajituma sana kazini.Kutokana na kufanya kazi kwa bidii,John ana akiba ya milioni 15 benki.Kati ya hizo milioni 15,milioni 14.8 alizipata kama urithi baada ya kifo cha mjomba wake.
Yah tofauti na akiba hiyo ya bank amefanikiwa kujenga nyumba kule Kinondoni na amenunua gari la kutembelea.
 
Back
Top Bottom