ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Wakulu kwanza niwajulie hali...Leo nilikua nikitazama taarifa ya habari ya TBC1 nikaona kitu ambacho sijakizoea sasa sijui ni... ushamba wangu au vipi...nimeona kama watangazaji wanasoma salamu kwenye taarifa ya habari, yani raia wanatuma salamu alafu katikati ya taarifa ya habari watangazaji wanasoma hizo salamu, am not sure if am right but kwa uelewa wangu kwenye taarifa ya habari si mahali pakutuma salamu....yani watu tumeconcetrate kusikiliza taarifa ya habari wenyewe wanatuma salamu...hivi hii sio dharau kweli...
wakuu mliopo mbele(nje) em tusaidieni is this right??? huko huwa inafanyika hivi...??? ingekuwa kusoma muktasari wa habari nisingeshangaa lakini kutuma salamu kweli..????
wakuu mliopo mbele(nje) em tusaidieni is this right??? huko huwa inafanyika hivi...??? ingekuwa kusoma muktasari wa habari nisingeshangaa lakini kutuma salamu kweli..????