Usiku kama Mchana!, Mbunge Rohoro Agawa TV Bunge la Kahawa - Ngara

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944

USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA

Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la ugawaji wa Television (TV) kwenye vijiwe/mabunge ya kahawa yaliyopo Wilayani Ngara.

Lengo kubwa ni kuwawezesha Wananchi kupata taarifa za Mambo mbali mbali yanayoendelea Duniani na Nchini, pamoja na kuwafanya waone kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan .

Kwa sasa Mbunge wetu amegawa TV Kwenye Kijiwe cha Kahawa Ngara mjini na muda si mrefu atagawa Rulenge, Junction na Benaco.

TV itafanya watu wengi kuvijua vijiwe vya kahawa, Kuhudhuria vikao vya kujadili mambo mbali mbali ya Maendeleo na kubwa kuliko yote, kuwafanya Watanzania kuanza kunywa Kahawa ambayo wanaizalisha wenyewe na hivyo kutengeneza soko la Ndani la wanywaji wa Kahawa.

Mbunge wa Wanangara hapoi, hategemei kupoa, kasi ni ileile. Watu wanaseme “ KEEP" BOMBING ”
 

USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA

Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la ugawaji wa Television (TV) kwenye vijiwe/mabunge ya kahawa yaliyopo Wilayani Ngara.

Lengo kubwa ni kuwawezesha Wananchi kupata taarifa za Mambo mbali mbali yanayoendelea Duniani na Nchini, pamoja na kuwafanya waone kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan .

Kwa sasa Mbunge wetu amegawa TV Kwenye Kijiwe cha Kahawa Ngara mjini na muda si mrefu atagawa Rulenge, Junction na Benaco.

TV itafanya watu wengi kuvijua vijiwe vya kahawa, Kuhudhuria vikao vya kujadili mambo mbali mbali ya Maendeleo na kubwa kuliko yote, kuwafanya Watanzania kuanza kunywa Kahawa ambayo wanaizalisha wenyewe na hivyo kutengeneza soko la Ndani la wanywaji wa Kahawa.

Mbunge wa Wanangara hapoi, hategemei kupoa, kasi ni ileile. Watu wanaseme “ KEEP" BOMBING ”
Dah!
Tanganyika mama Tanganyika Tanganyika.
Kwa hiyo kila mwezi wanakuwa wanapata fedha ya kununulia sukari 5000kg?
 

USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA

Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la ugawaji wa Television (TV) kwenye vijiwe/mabunge ya kahawa yaliyopo Wilayani Ngara.

Lengo kubwa ni kuwawezesha Wananchi kupata taarifa za Mambo mbali mbali yanayoendelea Duniani na Nchini, pamoja na kuwafanya waone kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan .

Kwa sasa Mbunge wetu amegawa TV Kwenye Kijiwe cha Kahawa Ngara mjini na muda si mrefu atagawa Rulenge, Junction na Benaco.

TV itafanya watu wengi kuvijua vijiwe vya kahawa, Kuhudhuria vikao vya kujadili mambo mbali mbali ya Maendeleo na kubwa kuliko yote, kuwafanya Watanzania kuanza kunywa Kahawa ambayo wanaizalisha wenyewe na hivyo kutengeneza soko la Ndani la wanywaji wa Kahawa.

Mbunge wa Wanangara hapoi, hategemei kupoa, kasi ni ileile. Watu wanaseme “ KEEP" BOMBING ”
Yes, jwa raia wapumbavu kama hao wagawie TV,
 

USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA

Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la ugawaji wa Television (TV) kwenye vijiwe/mabunge ya kahawa yaliyopo Wilayani Ngara.

Lengo kubwa ni kuwawezesha Wananchi kupata taarifa za Mambo mbali mbali yanayoendelea Duniani na Nchini, pamoja na kuwafanya waone kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan .

Kwa sasa Mbunge wetu amegawa TV Kwenye Kijiwe cha Kahawa Ngara mjini na muda si mrefu atagawa Rulenge, Junction na Benaco.

TV itafanya watu wengi kuvijua vijiwe vya kahawa, Kuhudhuria vikao vya kujadili mambo mbali mbali ya Maendeleo na kubwa kuliko yote, kuwafanya Watanzania kuanza kunywa Kahawa ambayo wanaizalisha wenyewe na hivyo kutengeneza soko la Ndani la wanywaji wa Kahawa.

Mbunge wa Wanangara hapoi, hategemei kupoa, kasi ni ileile. Watu wanaseme “ KEEP" BOMBING ”
Kariakoo kuna TV kubwa za Inch 42 kwa shilingi 250,000 tu ni za kutoka China huko,sasa sijui kama ni kitu cha muhimu au cha gharama sana kugawa TV wakati zinauzwa kwa mafungu China
 
Hiyo ilikuwa ni moja ya ahadi zake wakati akiomba Kura?
Na hao wana vijiwe TV ndio kipaumbele Chao hawana ishu nyingine za màana zaidi ?
Kwa hiyo kuna watu watakuwa wanashinda tu kijiweni kuangalia TV
Hii nchi ina wananchi wengi wajinga sana yaani na thread kaanzishiwa .
Hii nchi ngoja wanasiasa waendelee kuwafira tu nyie machawa wao
 
Ngara ni home
Huyo mbunge hatumtaki sisi Wahangaza na Washubi kutoka Ngara
Njewenyitwanjewewewewitwande
 
Ngara ni home
Huyo mbunge hatumtaki sisi Wahangaza na Washubi kutoka Ngara
Njewenyitwanjewewewewitwande
Na umeme ahakikishe haukatiki. Au huko Ngara wenzetu umeme unatoka Uganda? Vinginevyo ninahisi bado kero ya umeme haitasaidia hao watu kupata taarifa kama alivyokusudia
 
Back
Top Bottom