Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,785
- 104,715
Ni kesi muhimu sana, tatizo Je , Tuna Makakama? Kuna Makahama Kuu yenye ubavu was kukataa "amri kutoka juu"?
Concern yangu ni hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuone kama kweli yuko serious, lakini hakuna mahakama ya kupinga utashi wa Rais.