fitonenendefu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 428
- 866
Hata ndege hutua kwenye mti anaoupenda,,kwa kifupi pendeza,stawi na kunawiri,kiafya,kiakili,kimwili,kihali,na Mali na mengine yatakuja yenyewe.
somo zuri mno, fupi , la maana sana, muhimu na zito kweli kweli...Ukitumia muda wako kufukuza vipepeo, wataruka na kuondoka. Lakini ikiwa unatumia muda wako kutengeneza bustani nzuri na ya kuvutia, vipepeo vitakuja na kujaa kwako
Unapozingatia kujiboresha na kutafuta ukamilifu, kila kitu kizuri unachotaka kitakuja kwako. Tunavutia kulingana na sisi ni nani, sio tunachotaka.
Usifuate, vutia.View attachment 2822853
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunavutia Hadi nyuki yaani!
Yaani acha tu dadaake!Wanaishia kung'ata, asali hulambi unabaki na manundu...😌😌😌
Moyo wa mtu kichaka aiseeeh...!
Ndio binadamu tulivyo
Hahahaaa....
Ndio binadamu tulivyo
Kaka hela tatizo hata furaha hatunaaUkitumia muda wako kufukuza vipepeo, wataruka na kuondoka. Lakini ikiwa unatumia muda wako kutengeneza bustani nzuri na ya kuvutia, vipepeo vitakuja na kujaa kwako
Unapozingatia kujiboresha na kutafuta ukamilifu, kila kitu kizuri unachotaka kitakuja kwako. Tunavutia kulingana na sisi ni nani, sio tunachotaka.
Usifuate, vutia.View attachment 2822853
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamajina mengi mnoUkitumia muda wako kufukuza vipepeo, wataruka na kuondoka. Lakini ikiwa unatumia muda wako kutengeneza bustani nzuri na ya kuvutia, vipepeo vitakuja na kujaa kwako
Unapozingatia kujiboresha na kutafuta ukamilifu, kila kitu kizuri unachotaka kitakuja kwako. Tunavutia kulingana na sisi ni nani, sio tunachotaka.
Usifuate, vutia.View attachment 2822853
Sent using Jamii Forums mobile app