Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
[h=6]Don't marry anyone that you don't know what happened to their last relationship.ONE'S RELATIONSHIP HISTORY REVEALS ONE'S CHARACTER[/h]
Yeah_moja ya tofauti ya binadamu na mnyama ni kwamba binadamu anaweza kubadilika.binadamu si ng'ombe kwasababu huwa anabadilika. Nalog off
usiku mwema bandugu! najiandaa na weekend!
Don't marry anyone that you don't know what happened to their last relationship.ONE'S RELATIONSHIP HISTORY REVEALS ONE'S CHARACTER
ahsante.
lakin mtu anachange acc to time,place an space...na inawezekana kule alikuwa vile..aliact vile kutokana na sababu a,b,c...so kwako kuchange kuwa mbaya au mzuri inawezekana kutokana na atakayoyakuta kwako.
so sometimes haiwi kwamba kwa vile alikuwa mbaya UKO ALKOTOKA BAS ATAKUWA MBAYA NA KWAKO...anaweza akachange
na usitegemee alikuwa mzuri kuile basi kwako pia atakuwa mzuri..
usiku mwema bandugu! najiandaa na weekend!
binadamu mwenye utu moyoni, na mwenye hofu ya mungu moyoni mwake, mazingira yoyote hayataweza kumbadilisha