Usichokijua kuhusu Yusuf Manji

simba na yanga ni majipu,yanapaswa kutumbuliwa ,hatukatai uwekezaji lakini hizi klabu zilikuwa na uwezo wa kujiendesha japo na kuwa na mwanzo wa hao wa wekezaji,inashanga kuona tamasha kubwa kama la simba day likifanywa kwa kipuuzi na kiujanja ujanja zaidi wakati lingeweza kuandaliwa vizuri na klabu ikanufaika zaidi ya hivi ,yanga inamashabiki zaidi ya miliojni 5 nchi nzima wameshindwa nini basi kubuni hata wazo la kuwachangisha hao wanachama miamia kwa ajili ya ujenzi wa uwanja tu?
sio rahisi km unavyofikiria acha umbumbumbu
 
Kama wao ni wanajiona ni matajili na wanamapenzi kweli ya mpira kwanini wasifanye kama Azam wao wanashindwa nini?
Kwanini tusiamini kwamba wao ndio huwa wanahujumu timu ufanye vibaya ili wao wapate page kuingilia kuja kupiga deal.
 
Msiwe mbumbumbu nyie Yanga ni zaidi ya Manji tatizo njaa,mnaona Manji ndio kila kitu hii ni hatari sana katika klabu kubwa kama Yanga,Yanga ilikuwepo na itaendelea kuwepo lakini Manji atapita kama walivyopita wengine wengi ,muhimu hapa tungetengeneza mfumo wa kuongoza klabu lakini hizi nyingine ni swaga tu.
pessimistic ideas
 
14053947_1081447758605398_8057299451323830781_n.jpg
 
Wewe umefanya chochote katika jamii yako, acha umbea mambo yasiyokuhusu na usiyoyajua usililete kiherehere cha kuanza kuchangia, mazuri ni mengi kuliko huo upande unaousema wewe, are you asset or liability around your community?
hunijui na wala sina haja ya kudhibitisha chochote kwako, poor mind
 
Mwacheni apewe club acheni wivu wa kike nyie watoto wa kiume! Club ulichangia ngapi!

Huna hela kaa kimya!
 
Hao wahindi baada kashindwa kwenye siasa wamekuja kwenye mpira kwa kasi ya ajabu, baada ya kugundua ndio sehemu iliyobaki ya kupiga hela.

Hapo mwanzo walipiga hela kwenye hizi klabu zetu baadaye wakaona siasa inalipa zaidi kuliko mpira wakaenda kwenye siasa, Sasa walipoona mianya kwenye siasa imefungwa hao mbia wanarudi kule kwenye mpira kupiga tena, kwa sababu kwenye klabu zetu bado kuna mianya mingi ya kupiga deal.
HAWA NI RAIA WA KUZALIWA NA KUKULIA NDANI YA TANZANIA.ACHA UBAGUZI WA RANGI
 
Kama wao ni wanajiona ni matajili na wanamapenzi kweli ya mpira kwanini wasifanye kama Azam wao wanashindwa nini?
Kwanini tusiamini kwamba wao ndio huwa wanahujumu timu ufanye vibaya ili wao wapate page kuingilia kuja kupiga deal.
Embu funguka kuna kitu unaonekana unakijua mkuu
 
Kwa sifa hizo ulizompa, basi tu na agombee urais sasa, ndicho kilichobaki.
 
Acha kumpigia chapuo, mbona upande mbaya wake hujauweka? Au hausikii tuhuma tuhuma za rushwa na upigaji unaomuhusu?Yeye siyo Mungu wala tajiri pekee Anayeweza kuisaidia yanga, ni muda muafaka sasa yanga kujisajili kama kampuni, siyo kumkodisha mtu mmoja timu bila kuwa na uhakika akimaliza mda wake nini kitafuatia.

Tatizo mnapenda sana kulamba makalio ya wenye fedha, yanga ina uwezo wa kugenerate mapato yatakayoiwezesha kuwa club kubwa africa, inahitaji viongozi waendeshaji wazuri si kwa kuwa mtu ni mwanachama tuu wa siku nyingi au ana hela mnamchagua kuwa mwenyekiti

Kwanza anatakiwa aondoke na jopo la viongozi wote waliopo sasa yanga ipate viongozi wapya, hatuwezi kuwa na viongozi wenye mentality za kipuuzi kabisa, wanaowaza kwenda quality plaza kuvuta pesa kwa mwenyekiti, Yangs inahitaji visionary leaders watakaoitoa katika hali ya utegemezi wa mtu mmoja.

Hivi uyo manji baada ya kupewa timu, Mungu akamchukua yanga itakuwa wapi?au baada ya miaka miwili akasusa tutafanya nini?mtu mwenyewe anasusa susa kama mtoto wa kike
Unafikiri kwa kutumia kiungo gani cha mwili bro?!
 
Kama wao ni wanajiona ni matajili na wanamapenzi kweli ya mpira kwanini wasifanye kama Azam wao wanashindwa nini?
Kwanini tusiamini kwamba wao ndio huwa wanahujumu timu ufanye vibaya ili wao wapate page kuingilia kuja kupiga deal.
Azam amefanyaje?!
 
Mimi sio mpenzi wa ligi zetu, na haitatokea nishabikie timu yeyote hapa kwetu....lkn mitanzania bana hainaga shukurani hata ifanyiwe mema gani itabaki kulalama tu,na kuchongosha midomo ndio maana maendeleo hakuna huo ndiyo ukweli halisi.

Ukweli ni kwamba Manji kaisimamia yanga vilivyo, hapo mwanzo haikuwa hivyo.
 
Back
Top Bottom