Usichoke kulia

sarikoki

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
1,194
721
Wakati mwingine najifungiaga ndani nikimshukuru Mungu kwa kufikiria mambo mengi sana yaliyonitokea katika Safari yangu hii ya Maisha mazuri, mabaya sikuwai kukata tamaa.

Kuna vijana wenzangu wengi wanapitia magumu mengi ya maisha kama mimi niliyopitia. Unaweza ukawa unaumizwa kwenye mapenzi, ndoa au masumbuko mengine tu pamoja na magonjwa.

Never loose faith, jifungie ndani lia ukimshukuru Mungu wako kwa yanayokutokea, nakuhakikishishia Mungu wako anaesabu kila tone la chozi linalokutoka. Hamna hata tone lako moja la chozi litakalodongoka au kupotea bure katia ardhi ya dunia hii.

Usichoke kulia ndugu yangu, ni majaribu tu hayo yatapita. Nakutakia Mwaka mpya wenye Baraka na mafaniakio mengi.
 
Daaah!! Mi machozi yangu mbona yako mbali sana, nina miaka zaidi ya kumi na tano sijatoa chozi!! Kumbe ndo mana mambo yangu yanakuwa magumu kila sikuu.....!!! Leo natafuta kitunguu kichaa nikate na kisu butu nipate kulia na kuomba ili nami mambo yangu yanyooke maana kulia hivi hivi siwezi.....!!!
 
Daaah!! Mi machozi yangu mbona yako mbali sana, nina miaka zaidi ya kumi na tano sijatoa chozi!! Kumbe ndo mana mambo yangu yanakuwa magumu kila sikuu.....!!! Leo natafuta kitunguu kichaa nikate na kisu butu nipate kulia na kuomba ili nami mambo yangu yanyooke maana kulia hivi hivi siwezi.....!!!

Jaribu mkuu.
 
Daaah!! Mi machozi yangu mbona yako mbali sana, nina miaka zaidi ya kumi na tano sijatoa chozi!! Kumbe ndo mana mambo yangu yanakuwa magumu kila sikuu.....!!! Leo natafuta kitunguu kichaa nikate na kisu butu nipate kulia na kuomba ili nami mambo yangu yanyooke maana kulia hivi hivi siwezi.....!!!

miss chagga njoo umuone huyu eti hawezi kulia....
 
Wakati mwingine najifungiaga ndani nikimshukuru Mungu kwa kufikiria mambo mengi sana yaliyonitokea katika safari yangu hii ya maisha..kuna mengi mazuri na mabaya.. sikuwai kukata tamaa. Kuna vijana wenzangu wengi wanapitia magumu mengi ya maisha kama mimi niliyopitia. Unaweza ukawa unaumizwa kwenye mapenzi, ndoa au masumbuko mengine tu pamoja na magonjwa. Never loose faith, jifungie ndani lia ukimshukuru Mungu wako kwa yanayokutokea, nakuakikishishia Mungu wako anaesabu kila tone la jozi linalokutoka.. na hamna hata tone lako moja la chozi litakalodongoka au kupotea bure katia ardhi ya dunia hii. Usichoke kulia ndugu yangu, ni majaribu tu hayo yatapita. Nakutakia mwaka mpya wenye Baraka na mafaniakio mengi.

Why huumizwe then nawe unaenda ndani na ku absorb hayo maumivu? Ukilia unayo absorb na unakuwa mnyonge bure, reflect them usiruhusu yaingie ndani yako ukisikia kuumizwa washa zako radio au tv play happy song then anza kufatilia kwa kuimba utajikuta upo strong,happy na mudi yak haija haribika
 
Why huumizwe then nawe unaenda ndani na ku absorb hayo maumivu? Ukilia unayo absorb na unakuwa mnyonge bure, reflect them usiruhusu yaingie ndani yako ukisikia kuumizwa washa zako radio au tv play happy song then anza kufatilia kwa kuimba utajikuta upo strong,happy na mudi yak haija haribika

Kulia ni moja wapo ya toba. hatamitume pia walilia. Wanasema everythings happens for a reason. Majaribu na magumu saa ingine unayapata kama adhabu au malipizi ya mabaya unayoyafanya au uliyoyafanya wewe au hata wazazi wako. (Laana.)
 
Kulia ni moja wapo ya toba. hatamitume pia walilia. Wanasema everythings happens for a reason. Majaribu na magumu saa ingine unayapata kama adhabu au malipizi ya mabaya unayoyafanya au uliyoyafanya wewe au hata wazazi wako. (Laana.)

Nana kasema majaribu ni laana? Na nani kasema kulia ni toba? Toba ni kukiri kukosa na kuomba msamaha toka moyoni kabsa huku ukidhamiria kuacha kabsa..

Majaribu huja kustrengthen moyo wako na imani yako, si laana Unadhani mambo wanayokufanyia binadamu mfano kukudhurumu, kukuchukia ni halali kwako? solution si kulia lia, hapo unaharibu moyo wako na mudi yako, cha msingi fight hizo feelings zisikae kwako..
 
sarikoki

Ahsante baba Mchungaji, kuna tetesi kuwa eti ni ww umefumaniwa na mke wa mtu kwny habari ya gazetini. Kuna thread iko humu bila shaka umeuona na sasa una-confess!
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu hapa duniani ana njia yake ya kukabiliana na magumu yanayompata mwingine ndo kulia sana,mwingine kuimba,mwingine ni kucheki movie,mwingine muziki n.k, ila lililo kubwa ni kumueleza matatizo yetu baba yetu wa Mbinguni maana kasema haja zetu na zijulikane kwake tu...

Kwenye kumueleza huko Mungu wetu mtu akiwa peke yake na Baba yake huweza kujiachia vile atakavyo mfano kulia sana ila ni vizuri kuepuka maombi ya manung'uniko.
 
Ahsante baba Mchungaji, kuna tetesi kuwa eti ni ww umefumaniwa na mke wa mtu kwny habari ya gazetini. Kuna thread iko humu bila shaka umeuona na sasa una-confess!

Mkuu Nilishasema humu ndani mke wa mtu sitaki na wala sijawai kufirkia...mbona wako wengi tu ambao hawajaolewa.
 
Nana kasema majaribu ni laana? Na nani kasema kulia ni toba? Toba ni kukiri kukosa na kuomba msamaha toka moyoni kabsa huku ukidhamiria kuacha kabsa..
Majaribu huja kustrengthen moyo wako na imani yako, si laana
Unadhani mambo wanayokufanyia binadamu mfano kukudhurumu, kukuchukia ni halali kwako? solution si kulia lia, hapo unaharibu moyo wako na mudi yako, cha msingi fight hizo feelings zisikae kwako..

Uko sawa kabisa..kuna mtu hapa kasema kila mtu ana njia yake ya kurelease matatizo..... kulia ni moja wapo ya kuomba toba. ata mfalme daudi alipozini na yule mke wa mtu alifunga na kuomba huku akilia na kujigaragaza chini.
 
Uko sawa kabisa..kuna mtu hapa kasema kila mtu ana njia yake ya kurelease matatizo..... kulia ni moja wapo ya kuomba toba. ata mfalme daudi alipozini na yule mke wa mtu alifunga na kuomba huku akilia na kujigaragaza chini.

Jamaa alikuw anaomb toba kwa kuwa amekosa mbele za Mungu, lakin haimaanishi kuwa unatakiwa lia ukikutana na jambo gumu,
Lia kama ukiwa waomba msamaha mbele za Mungu, bt ukihudhiwa na wanadamu au ugumu wa maisha ukajifungia na kulia huo ni unyonge na hutakiwa kuwa hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom