MOKILI MOBIMBA
Member
- Aug 21, 2011
- 25
- 7
Wadau nimeagiza gari BMW X5 ya mwaka 2001Nimenunua USd 9500. usafiri nimelipa USd2000 itawasili muda si mrefu.Kwa uzoefu wenu wadau nijiandae Tsh ngapi gari niwe nalo street. kwamaana ya kodi zote.Nawasilisha.