Napenda kumshukuru Mungu kwa uaminifu wake katika maisha ya Dr. Mwakyembe. Nami napenda kuungana naye katika kufurahia ushindi wa imani yake na hasa uaminifu wake kwa maelezo yote niliyompatia hapa JF kuwa atoe ushuhuda kwa yale Mungu aliyomtendea ili sifa na utukufu ziwe kwake Mungu katika jina la Yesu bwana na mwokozi wa maisha yetu; ubarikiwe Dr. Mwakyembe na kuanzia pale uliposhuhudia ushuhuda wako hakuna wakuugeuza vinginevyo kwani umemshinda shetani kupitia neno la Mungu katika ufunuo 12:11 And they have defeated him by the blood of the Lamb and by their testimony. And they did not love their lives so much that they were afraid to die....Hukuogopa mtu wala hukujali status yako hata ukasimama kuikiri imani yako...that you did not love your life so much that you were afraid to be condemned, accused or even killed by those who will be condemned by their guilty conscious.....
Yaliyokupata ni promotion katika ulimwengu wa roho kwani sasa kwa hakika utakuwa umemjua Mungu na nguvu zake zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo. Neno la mungu linatuambia kuwa ..John 16:33 "I have told you these things, so that in me you may have peace. In this world you will have trouble. But take heart! I have overcome the world."
Katika maandishi yangu hapa JF niliandika kuwa hiyo hali ya ngozi si kwaajili ya jambo lolote bali ushuhuda kwa wote kuwa yaliyotendwa kweli yalitendwa ili kusiwe na kisingizio kuwa labda walikosea ama haikuingia mwilini na kwakua wengi wameona kwa macho yao na kwakua umediriki kuikiri imani yako hadharani basi acha tuingie hatua ya pili ya muujiza wako kuwa ngozi yako kuanzia siku ile uliposimama kwenye madhabahu ya bwana ilianza kutakata na itakuwa nyororo na laini kama ya mtoto mdogo. Hakuna ambacho ulichokitamani katika maisha yako ambacho utakikosa hasa lile ambalo liliambatana na wewe kupelekea kutaka kuangamizwa. Kwa macho yako utaona maadui zako wakiangamia moja baada ya mwingine wasipodiriki kuungama kwako bila kulazimishwa na mazingira ama nguvu yeyote. Wewe tulia na usubiri kuona uaminifu wa Mungu kwa maana wakati wa Mungu ndiyo ufaao zaidi usiwe na haraka.
Nikatika jina la Yesu naweka huu ushuhuda machoni mwa wa watanzania ili kwa kupitia haya roho nyingi zilizopotea zipate kuponywa...Kupitia ushuhuda huu wa Dr. Mwakyembe kila atakaye mwamini Mungu kwa dogo ama kubwa linalomsumbua katika damu yake apate uponyaji....Sifa na utukufu ni kwa Yesu jina lipitalo majina yote ambalo kwalo wokovu una yeye milele na milele amina.
Mbarikiwe na bwana!
Yaliyokupata ni promotion katika ulimwengu wa roho kwani sasa kwa hakika utakuwa umemjua Mungu na nguvu zake zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo. Neno la mungu linatuambia kuwa ..John 16:33 "I have told you these things, so that in me you may have peace. In this world you will have trouble. But take heart! I have overcome the world."
Katika maandishi yangu hapa JF niliandika kuwa hiyo hali ya ngozi si kwaajili ya jambo lolote bali ushuhuda kwa wote kuwa yaliyotendwa kweli yalitendwa ili kusiwe na kisingizio kuwa labda walikosea ama haikuingia mwilini na kwakua wengi wameona kwa macho yao na kwakua umediriki kuikiri imani yako hadharani basi acha tuingie hatua ya pili ya muujiza wako kuwa ngozi yako kuanzia siku ile uliposimama kwenye madhabahu ya bwana ilianza kutakata na itakuwa nyororo na laini kama ya mtoto mdogo. Hakuna ambacho ulichokitamani katika maisha yako ambacho utakikosa hasa lile ambalo liliambatana na wewe kupelekea kutaka kuangamizwa. Kwa macho yako utaona maadui zako wakiangamia moja baada ya mwingine wasipodiriki kuungama kwako bila kulazimishwa na mazingira ama nguvu yeyote. Wewe tulia na usubiri kuona uaminifu wa Mungu kwa maana wakati wa Mungu ndiyo ufaao zaidi usiwe na haraka.
Nikatika jina la Yesu naweka huu ushuhuda machoni mwa wa watanzania ili kwa kupitia haya roho nyingi zilizopotea zipate kuponywa...Kupitia ushuhuda huu wa Dr. Mwakyembe kila atakaye mwamini Mungu kwa dogo ama kubwa linalomsumbua katika damu yake apate uponyaji....Sifa na utukufu ni kwa Yesu jina lipitalo majina yote ambalo kwalo wokovu una yeye milele na milele amina.
Mbarikiwe na bwana!