- Thread starter
- #61
Natamani sana kujua ngozi ya Dr. Mwakyembe inaendeleaje? Maana huu ushuhuda ulikuwa na lengo la kupeleka uponyaji wake next level.....
Nikimaliza kwenye ushuhuda wa Mwakyembe naenda ngazi ya pili ya kuwa kabidhi CDM nchi..Huu mtihani wa afya ya Mwakyembe ilikuwa zoezi zima la jinsi imani inavyoweza kulikomboa taifa langu..Kama mchawi anaweza weka mtu madarakani si zaidi sana kwangu mimi ninaye mjua Mungu aliye hai? Mwenye wivu na ajinyonge Yesu akiwa enzini mambo yote ni sawa sawa!
Nikimaliza kwenye ushuhuda wa Mwakyembe naenda ngazi ya pili ya kuwa kabidhi CDM nchi..Huu mtihani wa afya ya Mwakyembe ilikuwa zoezi zima la jinsi imani inavyoweza kulikomboa taifa langu..Kama mchawi anaweza weka mtu madarakani si zaidi sana kwangu mimi ninaye mjua Mungu aliye hai? Mwenye wivu na ajinyonge Yesu akiwa enzini mambo yote ni sawa sawa!