Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,296
- 54,853
Nikithubutu kukueleza nilipoishi na id yangu fake ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumia.The secret will be revealed!We jamaa umeishi Tabora mitaa gani?
Nikithubutu kukueleza nilipoishi na id yangu fake ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumia.The secret will be revealed!We jamaa umeishi Tabora mitaa gani?
Mleta mada aweke video tuone...
Unamjua marehemu Fifi wa kule Kiyungi?Nikithubutu kukueleza nilipoishi na id yangu fake ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumia.The secret will be revealed!
Kama namkumbuka hivi.Baba yake na akina Dotto,Kulwa,Eliza na Kadala?Nime-google!Unamjua marehemu Fifi wa kule Kiyungi?
Kuna trend ya wasanii kujiita WANYAMWEZIWa wanaume hali iko je?
Ndugu, wewe tunafahamiana kabisa aiseeKama namkumbuka hivi.Baba yake na akina Dotto,Kulwa,Eliza na Kadala?Nime-google!
Nakataa.Sikujui mtu wewe!Ndugu, wewe tunafahamiana kabisa aisee
Ugeni wa eneo na aina mpya ya watu unaokutana nao huifanya akili kuhisi burudani tupu.Kila mkoa una vizuri vyake ktk mapenzi. Mbeya nao nilichanganyikiwa nikakataa kurudi Dar mapema.Binti alinichanganya acha kabisa Wanyakyusa nao hongereni kwa utaalamu kwa kitanda
Wewe tumecheza mpira wote pale kiwanja cha shule ya msingi Kiyungi, hahahaNakataa.Sikujui mtu wewe!
Si kweli.Mimi niliishi Mibirani kwenye msikiti wa sheikh Yahaya na kucheza mpira uwanja wa dhambi Kandiloni kule Tukutuku karibu na kwa Boga.Wewe tumecheza mpira wote pale kiwanja cha shule ya msingi Kiyungi, hahaha
Huku mchukua maelezo!!!.Duh nlkuaga na dem anaitwa Nyanzala kumbe ndo wa huko
Baba Ola "mzungu wa kwanza" kuishi pale Kiyungi unamkumbuka?Si kweli.Mimi niliishi Mibirani kwenye msikiti wa sheikh Yahaya na kucheza mpira uwanja wa dhambi Kandiloni kule Tukutuku karibu na kwa Boga.
Nilikuwa nikipita hiyo mitaa kwenda kuogesha mbwa bomani nawaona.Nadhani Muirani yule bado yupo?Ola alisoma kule Iringa panaitwa Ruaha Baha'i Secondari?Baba Ola "mzungu wa kwanza" kuishi pale Kiyungi unamkumbuka?
Lina maana gani kwanza hilo jinaHuku mchukua maelezo!!!.
Hongera, ni lini wamekuliza kwa utamu mkuu?Hakika mapenzi ya Tabora hawa wanawake wa kinyamwezi ni kiboko.
Kuishi ama kufika ama kupita Tabora ni raha sana, mapenzi tele na raha zake na utamu wa mapenzi ya Tabora hakuna mkoa pinzani.
Wanawake wa kinyamwezi na hata walofundwa unyamwezini ni watamu sana wanajua mpaka basi hadi wana utamu wa kukuficha.
Tabora ni raha, unafinywa kwa ndani, unabanwa miguu, unageukiwa na unabanwa miguu.
Inafika pahala mwanaume unabweka kisa utamu sijui wanaweka nini hawa wanawake.
Mimi Wadiz mkongwe yaani Baharia mtaalamu wa mapenzi ndio wa kulizwa vile na wanyamwezi mpaka nabweka kama mbwa. Sielewi sijui kuna kitu wanaweke si kwa utamu ule utadhani unaokwa na microwave duuh❤️❤️❤️💯💯💯🙏🙏🙏
Tabora ni noma Tabora ni hatari ni makao makuu ya Dunia ya mapenzi.
Daah aisee ni hayo tu ama kweli naguma!
Wadiz
Mi sielewi mkuu. Maendeleo ya miundo mbinu yametuondolea kijiwe cheti Cha mti hewa na mwembe chai.Lina maana gani kwanza hilo jina
Wasimbe ndio nnNdo mkoa unaoongoza kwa kuwa na wasimbe wengi