The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Nilipokuwa 4th year nafanya OB& GY Clerckship niliwahi kumuuliza mwalimu kuhusu papai ... inajulikana kwamba papaya ina uwezo wa kutoa mimba ... je mtu akila papaya after intercorse je inaweza ikawa ni njia nzuri ya birth control ...?! hakunijibu nikasahau kumuuliza badaye but still najiuliza hilo swali...
kila njia ya kuzuia mimba ina side effects zake ... nyingine si kubwa sana nyengine ni kubwa sana inategemea mtu na mtu ! calender ni njia nzuri though pia sio 100% safe
Papai bichi na si lililoiva