Ushoga ni kinyume na haki za binadamu

inspectorbenja

JF-Expert Member
Oct 14, 2012
498
419
Nchi za magharibi wanapotafsiri haki za binadamu,wanatola katika msingi halisi wa haki za binadamu.kuingiliana kinyume na maumbile ni kuuvunjia mwili haki za msingi na hilo linathibitishwa na sayansi.kisayansi viungo vya kike ni mahisusi kuingiliwa na kiume na siyo kinyume chake.kinyume chake siyo matumizi sahihi ya viunho vya uzazi.hicho tunakiita abuse au misuse.
ushoga na usagaji ni kuuvunjia mwili haki zake za msingi na mwili ni sehemu ya nafai na roho ambavyo vinakamilisha mwanadamu kwa hiyo ni kinyume na haki za binadamu.kama jinsi ambavyo kuna haki za wanyama ndivyo ambavyo kuna haki za mwili ambao ni sehemu ya mwanadamu.
 
Nakubaliana kwa asilimia mia na makala ya President Museveni kwenye The Citizen la tarehe 26/02/2014
Ushoga na usagaji ni aina ya abnormality (ukichaa/upunguani/uwendawazimu) kama vile kufanya mapenzi na mtoto (paedophilia) kufanya mapenzi na maiti (necrophilia) kufanya mapenzi na ndugu yako (incest) kufanya mapenzi na wanyama.
Mashoga na wasagaji wanatakiwa
1. Walaaniwe kwa nguvu zote
2. Waadhibiwe
3. Wapewe tiba ya kisaikolojia
4. Yote hapo juu yaende kwa pamoja
 
haki yako wew mwenyew mkuu kama kutoa 0713...imekuwa hak ni huko uraiani kwenu
 
Mbona unapenda sana kutoa mada za kutetea mapunga we ccm? Hupati mteja humu.
 
Wewe ni Shoga?Haku na haki ya Ushoga popote pale na kama unataka hiyo haki mwisho nyumbani kwako kama una nyumba?

ImageUploadedByJamiiForums1404540093.495111.jpg


Sent from Iphone
 
mbona wa tz ni wajinga kiasi hiki haya kwani kasema yeye ni jinsia gani au kila mtu anayeongelea ushoga ni mwanaume ?

back to the topic
haki za machoko huko kwa kameruni na obama chunga usifike kwa Mu7 na Mugabe ila kwa baba riz ukiwa chokdo huulizwi
 
Back
Top Bottom