CCM wamejikuta wakihaha kutafuta wala rushwa ili wawalishe sumu. Lakini kwa Maeneo mengi hapa Usa-River wananchi wamekataa kula CCM bali watakula na kulala Chadema maana hawana haja ya kuuza haki zao. CCM hoi katika uchaguzi huu wa wenyeviti wa vitongoji/mitaa ya tisa katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Usa-River, yaani (1) Usa Madukani/Chemchemi, (2) Magadirisho, (3) Magadini, (4) Manyatta Kati, (5) Mlima Sioni, (6) Nganana, (7) Mji Mwema, (8) Kisambare na (9) Ngaresero
Uchaguzi utafanyika Jumapili tarehe 4 Novemba, 2012
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.