Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,776
- 24,211
Salaam Wakuu,
Tukiwa tunaendelea kusherekea tukio la Simba kuingia robo fainali kwa mbinde (kikanuni) baada ya kulingana points na Wydad.
Kimahesabu, Simba juzi mechi dhidi ya timu dhaifu TRA kwenye Azam confederation cup walishinda 6-0. na Kwa galaxy Simba wameshinda 6-0, ila Kwa Yanga Simba alikandwa 5-1. Hapa uki cross multiplication utagundua TRA Simba na Galaxy ni timu za daraja moja (very poor) kwa Yanga.
Je, ushindi wa Yanga dhidi ya Mwarabu (CR Belouzidad) wa 4- 0 na ushindi wa Simba vs Mwafrika (Jwaneng Galaxy) wa 6-0 ni ushindi upi una thamani (value) kubwa?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tukiwa tunaendelea kusherekea tukio la Simba kuingia robo fainali kwa mbinde (kikanuni) baada ya kulingana points na Wydad.
Kimahesabu, Simba juzi mechi dhidi ya timu dhaifu TRA kwenye Azam confederation cup walishinda 6-0. na Kwa galaxy Simba wameshinda 6-0, ila Kwa Yanga Simba alikandwa 5-1. Hapa uki cross multiplication utagundua TRA Simba na Galaxy ni timu za daraja moja (very poor) kwa Yanga.
Je, ushindi wa Yanga dhidi ya Mwarabu (CR Belouzidad) wa 4- 0 na ushindi wa Simba vs Mwafrika (Jwaneng Galaxy) wa 6-0 ni ushindi upi una thamani (value) kubwa?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app