..ushenga..

Pure Mathematics

Senior Member
Mar 8, 2012
174
52
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..
 
Hahahaaaaa ni bango langu hilo....
Siku hizi kila kitu ni biashara....we hujajua tu hadi leo?
 
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..

Karibu Daresalama
 
Siku hizi hata kuambukiza ukimwi ni dili mkuu. Kama unao jitangaze tu utafatwa na kupewa mchongo na wataalamu.
 
Wala mie halinishangazi hilo!
Tangu siku jamaa yangu nilipomuona amekodi watu wa kwenda kulia msibani ! Sio kulia ile ya kula, lia ile ya Cryin' with tears !
 
Ndo hivyo..me pia kuna sehem nlpita nikaona bango limeandikwa kuwa tunanunua kila kitu.
 
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..

Aiseee!huu utapeli kbs aseee!ina maana hata cku ndoa ikizingua huyu atapatikana kusolve matatizo ya ndoa ngapi km ndio amekua km dalali,njaa mbaya sn aisee!
 
Back
Top Bottom