Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..
Duh, nimeshangaa kwa kweli..