m-boy
Senior Member
- Aug 20, 2023
- 147
- 477
Habarii hivi ushawahi kupitia hii
Ninaishi na bint wa miaka nane mimi ndio mama nyumbani tupo .
Usiku ninapika chai naiyacha kwenye chupa, asubui mm huwa ninawai kutoka kabla yake namuacha amelala wala simuamshi.
Akiamka anafagia wanja na kuosha vyombo, anakunywa chai na kwenda shule.
Ikiwa yeye atawai kurudi shule kabla ya mm anakula na kwenda sehem nyingine ambayo ni kwa ajili ya masomo ya jioni.
Ikiwa mm nitawai kurudi nitapika chakula cha mchana,
Ikiwa yeye atawai kurudi kuna mazingila nimemtengenezea aweze kula,
Vitu vya muhimu nilivyofanya,
Nina sim ndogo nimeacha ndani ambayo nimejiunga halichachi kwa maana muda wowote anaweza kupiga, nimemuandikia namba,za watu wa karibu ikiwa na dhalula awapigie nimewka funguo nje ili ikitokea amepoteza funguo au aliondoka na kuniacha mm nyimbani akasahau kubeba funguo akija aweze kufungua mlango
Nimeacha pesa ya dhalula ikiwa nimesahau kuacha pesa ya vitafunwa asubui akachukue pale anunue vitafunwa.
Changamoto ninazopitia ni ndogo sana lkn ninamshuku mungu nipo salama na bint yangu na maisha yanasonga,
Nawakaribisha mp kama kuna mwanamke amevutiwa na hii familia aje kuwa mtu wa 3, karibu mp
Ninaishi na bint wa miaka nane mimi ndio mama nyumbani tupo .
Usiku ninapika chai naiyacha kwenye chupa, asubui mm huwa ninawai kutoka kabla yake namuacha amelala wala simuamshi.
Akiamka anafagia wanja na kuosha vyombo, anakunywa chai na kwenda shule.
Ikiwa yeye atawai kurudi shule kabla ya mm anakula na kwenda sehem nyingine ambayo ni kwa ajili ya masomo ya jioni.
Ikiwa mm nitawai kurudi nitapika chakula cha mchana,
Ikiwa yeye atawai kurudi kuna mazingila nimemtengenezea aweze kula,
Vitu vya muhimu nilivyofanya,
Nina sim ndogo nimeacha ndani ambayo nimejiunga halichachi kwa maana muda wowote anaweza kupiga, nimemuandikia namba,za watu wa karibu ikiwa na dhalula awapigie nimewka funguo nje ili ikitokea amepoteza funguo au aliondoka na kuniacha mm nyimbani akasahau kubeba funguo akija aweze kufungua mlango
Nimeacha pesa ya dhalula ikiwa nimesahau kuacha pesa ya vitafunwa asubui akachukue pale anunue vitafunwa.
Changamoto ninazopitia ni ndogo sana lkn ninamshuku mungu nipo salama na bint yangu na maisha yanasonga,
Nawakaribisha mp kama kuna mwanamke amevutiwa na hii familia aje kuwa mtu wa 3, karibu mp