Ushauri Wizara ya Elimu: Nyadhifa zitolewe kwa kuzingatia Kiwango cha Elimu, kipaumbele kikiwa kwenye elimu ya juu zaidi

Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Tuambie kwanza: wewe una Phd katika fani gani na unafundisha shule qani?
 
Umahiri upi mkuu? Unajua hawa Maboss wakishagundua tu una MA au Phd wanaanza chuki na vita. Sasa usiporespond unaweza ukapotea mazima katika utumishi au kuwa zezeta.
Mi nafikiri ungeanza kuishauri wizara husika ihakikishe kuwa hizo masters na Phd ni za kweli maana tunawaona wenye vyeti vyao wakiwa na uwezo mdogo wa kudadavua mambo mepesi
 
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Asante kwa kututetea walim , pumbavu, phD , masters bila kutoweza simamia au jisimamia ni ni rubbish shame on you
 
Unamaanisha nn unaposema mwalimu ana masters/PhD Ila mabosi zake wana shahada?

Kwani hizo masters/PhD siyo shahada? Au hujui maana ya shahada?

Sasa kama kitu kidogo tu kama hiki hujui, unajua nn Sasa? Wewe una makaratasi tu yanayokutambulisha kuwa una masters/PhD lkn kichwani wewe ni chekechea.
Ukikutana na mtu kama SLO Serengeti DC, anawapa vyeo anaoimba nao kwaya
Kwake kigezo uwe mwimba kwaya wake na umpelekee mahindi
 
Mi nafikiri ungeanza kuishauri wizara husika ihakikishe kuwa hizo masters na Phd ni za kweli maana tunawaona wenye vyeti vyao wakiwa na uwezo mdogo wa kudadavua mambo mepesi
Kama unauwezo mkubwa omba wakuweke ww
 
"Chuki dhidi ya wasomi hasa MA, Phd holders zinaanzia mtaani. Watu wanachukia sana wasomi. Ukija huku kwenye Halmashauri zetu hizi zenye BA, Diploma na Certificate holders ndiyo balaaaa.

Chuki kila kona. Mtumishi kupewa haki zake mpaka agombane na Mkuu wa Idara husika.

Nashukuru sana mleta mada kwa jicho lako lenye maono ya baadaye lakini pia serikali imeiweka pembeni MA kwenye Recategorization.
SHUKRAN SANA
 
Unamaanisha nn unaposema mwalimu ana masters/PhD Ila mabosi zake wana shahada?

Kwani hizo masters/PhD siyo shahada? Au hujui maana ya shahada?

Sasa kama kitu kidogo tu kama hiki hujui, unajua nn Sasa? Wewe una makaratasi tu yanayokutambulisha kuwa una masters/PhD lkn kichwani wewe ni chekechea.
😂😂😂 Labda alimaanisha shahada ya kwanza
 
"Chuki dhidi ya wasomi hasa MA, Phd holders zinaanzia mtaani. Watu wanachukia sana wasomi. Ukija huku kwenye Halmashauri zetu hizi zenye BA, Diploma na Certificate holders ndiyo balaaaa.

Chuki kila kona. Mtumishi kupewa haki zake mpaka agombane na Mkuu wa Idara husika.

Nashukuru sana mleta mada kwa jicho lako lenye maono ya baadaye lakini pia serikali imeiweka pembeni MA kwenye Recategorization.
Chukua maslahi yako na uchape kazi maana ukitaka nyadhifa mtakuwa wangapi maana masters zipo bwerere tena hizi za research kila kona .


Utambulike kwa masters yako labda upate kiwango cha mshahara ila kupata nyadhifu inawezekana kila mtu akaenda kusoma masters ,je wangapi watapewa nyadhifa .

Kusoma ni afya kila mtu masters atapata akitaka na kuwekeza muda ,hatuwezi wote kuwa kweny nyadhifa za juu mfumo hauruhusu.

Ukienda nje wapo wenye Masters wanafundisha elimu za chini na wanakula pesa ndefu.

Wabongo tusipende sana hadhi ya kielimu bali tuchape kazi haswa.
 
Ngumi ya gizani imefanya kazi. Pole msomi.

Umeandika mwenyewe, mimi ningejuaje kama ni wewe?

Halafu una tabia za kike, seems to be a woman.

Umejaa umbea kisa umekosa madaraka.

Kwa taarifa yako huyo mwenye elimu ndogo amefanyiwa vetting na kuonekana anafaa kuliko wewe mwenye masters ya umbea.

Unathubutuje kuyasema viongozi wenye elimu ndogo hufanya figisi kwa wenye elimu kubwa?



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona hili lipo sana sehemu za kazi kwa sekta binafsi na hata za umma, na kwa tuliofanya kazi maeneo mbalimbali tumelishuhudia hili.
Hii imepelekea watu kubaniwa nafasi za kwenda kujiendeleza kielimu hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo, kufanyiwa figisu kwenye kupanda vyeo na hata kubaniwa uhamisho kwenda kwenye malisho mazuri.
Utapingana na mleta mada ikiwa tu wewe unakaa kwa shemeji yako na haujawahi kufanya kazi mahali popote au wewe ni miongoni mwa wenye tabia hizo.
 
Back
Top Bottom