King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,726
- 68,742
Du kwa kunena ni rahisi sana hebu ingia kwenye zoezi lenyewe hiyo millioni 10 utakuta imeishia kwenye bati
Hakuna acha uoga nyumba ya vyumba vi3 haifiki milioni 10,minimize cost jamani,wengi wakipata hela wanakuwa na mawenge