Ushauri wana JF: Milioni 25 itatosha kumalizia nyumba yenye sifa hizi?

chamajani

JF-Expert Member
Sep 22, 2010
552
31
Nipo kwenye mpango wa kununua nyumba iliyo katika ujenzi ambayo imefikia kiwango cha rental na kozi mbili tayari, ina slab za mbele na nyuma (tayari zimeshajengewa). Imebaki kufunika na finishing nyinginezo tu. Nyumba iko Dar, Buza-Temeke; ina vyumba vitatu vya kulala vyote self na wastan wa ukubwa kila chumba ni ft. 14x14; Ina Jiko (pia kubwa); Store, Sitting room (ft est. 20x16); Dining rum, madirisha 10 (ft 6x7); milango 12; makalo ya vyoo bado; maji yapo (ameshavuta bado kuyaingiza kwenye system); umeme nguzo iko uwanjani kwake;

Je kwa Milioni za Kitanzania 25 (25M) zitatosheleza kukamilisha ujenzi huo ikiwa nitainunua kwa kuzingatia matakwa yafuatayo:
1. Bati nitumie zile ngumu za Aluminium 28g, (Maarufu huku uswahilin kwetu bati za msauzi)
2. Madirisha ya Aluminium
3. Milango ya Mninga au Mkongo
4. Gypsum ceiling board,
5. Tiles nyumba nzima
6. rangi zile za ndoo 140,000 or +
7. Makabati ya jikoni
8. Umeme
9. System ya maji kuingiza ndani
Please wana JF msada wenu: The Boss, Sanjo, Dancani, Tai Ngwilizi na wengine wazoefu wa mambo haya msaada wenu plz
 
Na chenchi inabaki mkuu,daaaa,wenzetu mna mihelaaaaaaaa tupeni michongo na sie wajameni,kila la kheri mkuu
 
Soma threads ziliozotangulia kuhusu ujenzi wa nyumba.
Asante mkuu zemarcopolo, nimesoma threads tatu tofauti na nimezisoma mwanzo mwisho lakini sijapata jibu la moja kwa moja kwa kesi yangu. Na pia kuna baadhi ya data ni kama outdated, ndio nikaona nizidi kupata ushauri ambao ni current kutoka kwenu
 
Hazitoshi kwa haraka tu....
Bati sio chini ya 7m, mbao 5m, milango 3.5m (frem+mlango+vitasa), tiles 2m, aluminium 4m, bado umeme, rangi, makabati, tiles, plast, rangi, gypsum etc
 
Na chenchi inabaki mkuu,daaaa,wenzetu mna mihelaaaaaaaa tupeni michongo na sie wajameni,kila la kheri mkuu
Haaaa, umenichekesha kweli mkuu, hamna cha michongo ila kuna mwarabu koko anataka kutuhamisha mjini kutoka kwenye banda la urithi, ndio nikaona bora nikate mti na kupanda mti. Funguka basi itabaki kivipi
 
Hazitoshi kwa haraka tu....
Bati sio chini ya 7m, mbao 5m, milango 3.5m (frem+mlango+vitasa), tiles 2m, aluminium 4m, bado umeme, rangi, makabati, tiles, plast, rangi, gypsum etc
Duh! asante mkuu. Hela yetu kweli sasaiv madafu, sijui lini itakuwa nazi
 
Hazitoshi bro,jipange finishing inacost hela nyingi sana,sio hela kidogo ulionayo ila itakusogeza hatua kadhaa
 
Ukweli mchungu ila haitoshi mkuu

approximately

Bati 3m + fundi
mbao kench 1.2 + fundi
Blandering laki 5 + fundi
Madirisha 1.5 laki@
Mniga frame 80 thou@
Top 130@+hinges+locksets+stoppers+finishing materials(sanding seal,wod glue&polish)+ufundi
Gypsum board 12500@pc + Mikanda 3500@+ corners 4000@+ powder 16500/bag+ scrws+ fiber tapes+ufundi
Tiles kujenga 3000/sqm+cement 25bags@16000+tiles granite /unpolished+scating20000@box+ grout
umeme kuna wiring na fittings+ufundi+service line
maji kuna plumbing+furniture + sewerage+ufundi
Ukuta kuna skimming na rangi yenyewe+white cemnt/G-powder+ufundi
Makabati ya jikoni kunambao+marble/tiles+ufundi

Mkuu andaa hiyo na contingency (20-30%) just in case
 
Ukweli mchungu ila haitoshi mkuu

approximately

Bati 3m + fundi
mbao kench 1.2 + fundi
Blandering laki 5 + fundi
Madirisha 1.5 laki@
Mniga frame 80 thou@
Top 130@+hinges+locksets+stoppers+finishing materials(sanding seal,wod glue&polish)+ufundi
Gypsum board 12500@pc + Mikanda 3500@+ corners 4000@+ powder 16500/bag+ scrws+ fiber tapes+ufundi
Tiles kujenga 3000/sqm+cement 25bags@16000+tiles granite /unpolished+scating20000@box+ grout
umeme kuna wiring na fittings+ufundi+service line
maji kuna plumbing+furniture + sewerage+ufundi
Ukuta kuna skimming na rangi yenyewe+white cemnt/G-powder+ufundi
Makabati ya jikoni kunambao+marble/tiles+ufundi

Mkuu andaa hiyo na contingency (20-30%) just in case
Shukurani mkuu, huyu mwarabu koko itabidi aongeze fedha au aniache niendelee kula good time mjini kama hali ya ujenzi iko hivi. Maana hapo hiyo contingency ni kama 10M hiyo, duhhuuuuu!
 
Nipo kwenye mpango wa kununua nyumba iliyo katika ujenzi ambayo imefikia kiwango cha rental na kozi mbili tayari, ina slab za mbele na nyuma (tayari zimeshajengewa). Imebaki kufunika na finishing nyinginezo tu. Nyumba iko Dar, Buza-Temeke; ina vyumba vitatu vya kulala vyote self na wastan wa ukubwa kila chumba ni ft. 14x14; Ina Jiko (pia kubwa); Store, Sitting room (ft est. 20x16); Dining rum, madirisha 10 (ft 6x7); milango 12; makalo ya vyoo bado; maji yapo (ameshavuta bado kuyaingiza kwenye system); umeme nguzo iko uwanjani kwake;

Je kwa Milioni za Kitanzania 25 (25M) zitatosheleza kukamilisha ujenzi huo ikiwa nitainunua kwa kuzingatia matakwa yafuatayo:
1. Bati nitumie zile ngumu za Aluminium 28g, (Maarufu huku uswahilin kwetu bati za msauzi)
2. Madirisha ya Aluminium
3. Milango ya Mninga au Mkongo
4. Gypsum ceiling board,
5. Tiles nyumba nzima
6. rangi zile za ndoo 140,000 or +
7. Makabati ya jikoni
8. Umeme
9. System ya maji kuingiza ndani
Please wana JF msada wenu: The Boss, Sanjo, Dancani, Tai Ngwilizi na wengine wazoefu wa mambo haya msaada wenu plz
Milango ipo mingapi? Kila mlango utakugharimu karibu laki nne (frame na shutter). Madirisha pia yapo mangapi na ya kubwa gani kila dirisha linaanza kukugharimu wastani wa laki tano(grilles na aluminum).

Bati na truss zinaweza kukugharimu si chini ya milioni tano. Tiles kama ni hizi za kachina good quality, zinaweza kumeza milioni si chilni ya tano....ukitaka za Spain etc inaweza kufika hata milioni kumi!

Gypsum (ya Thailand) na framing yake inaweza kuhitaji milioni tano. Plaster, rangi nje na ndani inaweza kuhitaji milioni tano mpaka sita. Vyoo na makaro mengine ya naweza kuhitaji milioni tatu. Makabati na top ya jikoni inaweza kuchukua hata milioni 5! Maji weka laki tano, umeme kama ni 3-phase andaa milioni kama ni kawaida lakini tano hivi....connection tu, wiring na switches, lights zinaweza kumeza hata milioni tatu....... Pheeew......sina hamu na finishing! bado fascia, gutter, eaves, septic tank, soakaway, fence, landscaping! kama laana.....nyumba mpya yataka samani mpya pia! Halafu kama una watoto wadogo ukihamia ndani ya mwaka kuta zitadai repainting!
 
Milango ipo mingapi? Kila mlango utakugharimu karibu laki nne (frame na shutter). Madirisha pia yapo mangapi na ya kubwa gani kila dirisha linaanza kukugharimu wastani wa laki tano(grilles na aluminum). Bati na truss zinaweza kukugharimu si china ya milioni tano. Tiles kama ni hizi za kachina good quality, zinaweza kiume za milioni si chilni ya tano....unit aka za Spain etc inaweza kufika hata milioni kumi! Gypsum (ya Thailand) na framing yake inaweza kuhitaji milioni tano. Plaster, rangi nje na ndani inaweza kuhitaji milioni tano mpaka sita. Vyoo na makaro mengine ya naweza kuhitaji milioni tatu. Makabati na top ya jikoni inaweza kuchukua hata milioni 5! Maji weka laki tano, umeme kama ni 3-phase andaa milioni kama ni kawaida lakini tano hivi. Pheeew......sina hamu na finishing!
Asante sana, ni overview nzuri sana hii uliyotoa. Idadi ya milango na madirisha nimetoa mkuu. Japo sitahitaji vile viwango vya juuuuuuuu! kama wanaopata hela kwa kuongeza sifuri mbele. Mambo yangu wastani tu ila kitu kizuri umenipa anga zote mbili (lowest na highest option). Hongera kwa kumaliza hiyo finishing yako na Ubarikiwe.
 
Kwa uelewa wangu wa kiasi kuhusu ujenzi na namna unavyotaka kufanya finishing .
Kwanza nikija kwenye milango ni lazima ujue kuwa mbao ni ghali sana siku hizi na inapanda bei siku baada ya siku,hivyo kwa milango ya mbao ya mninga ni lazima itakugharimu sana na itakuwa si chini ya laki sita na sijui nyumba yako ina milango mingapi. Ila ningekupa mbinu. Unaweza kutumia mninga k
 
Unaweza kutumia mbao kwa milango ya mbele ya nyumba na ile ya ndani ukaweka milango ya aliminium. Kwa ujumla m25 haiwezi kutosha. Ila unaweza kuitumia kufanya finishing katika maeneo yale muhimu na ukahamia. Na baadae ukaja ukamaliza taratibu
 
Kwa uelewa wangu wa kiasi kuhusu ujenzi na namna unavyotaka kufanya finishing .
Kwanza nikija kwenye milango ni lazima ujue kuwa mbao ni ghali sana siku hizi na inapanda bei siku baada ya siku,hivyo kwa milango ya mbao ya mninga ni lazima itakugharimu sana na itakuwa si chini ya laki sita na sijui nyumba yako ina milango mingapi. Ila ningekupa mbinu. Unaweza kutumia mninga k
Shukurani. Idadi ya milango iko nadhani 12 au 11 hivi
 
Unaweza kutumia mbao kwa milango ya mbele ya nyumba na ile ya ndani ukaweka milango ya aliminium. Kwa ujumla m25 haiwezi kutosha. Ila unaweza kuitumia kufanya finishing katika maeneo yale muhimu na ukahamia. Na baadae ukaja ukamaliza taratibu
Nimekupata vema mkuu. Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom