Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Nimeshtukia niko katika mahusiano na mdogo wa rafiki yangu sana niliyesoma naye sekondari. Nilikutana naye kwenye mishe zangu za chuo, na nimemsalandia zaidi ya mwaka mpaka kumpata. Nimejua kwamba ni mdogo wa rafiki yangu wakati tukifahamisha sehemu tulizotoka. I luv her n she luvs me. What should i do?