Ushauri wa Tundu Lissu kwa Serikali ni wa kijinga na Serikali itakuwa ya kijinga kuukubali

Tatizo lako ni nini?

Kwa sababu bunge lilipuuzia ushauri wa wabunge basi unataka na serikali ukubali ushauri wa kijinga unaotolewa na Tundu Lissu.

Hoja ya msingi kwa sasa ni serikali ya awami ya tano kusimamia natural resources za taifa kwa umakini zaidi.

duh! Pole maana hujui unachotetea...

Hiyo inayoitwa mikataba mibovu ni lissu alisaini?
Eti tunaibiwa! Rais kabisa amili jeshi mkuu ... Nan anapaswa kuzuia huo wiz?
Hii ni ACCASIA peke yake ama ni madini kwa ujumla??
 
Hapo tu.....kampuni moja....!!!!!

Tunisia askari waliuwa mlalahoi mmoja tu...Taifa lote likachafuka nawatu kufa...rais kukimbia nk

Kampuni moja inachafua taswila ya Tanzania kimataifa na kuwakimbiza wengi hukohuko wasije wasije kabisaa kwa hofu.


Umedhihilisha huna unalofaham ni mtupu kichwani kabisaaa.
Dhana ya kusema Tanzania itakimbiwa na wawekezaji ni muflisi kwa sababu nchi imejaliwa maliasili za aina nyingi na ambazo ni tegemeo katika masoko ya kimataifa.
 
Hivi unaamini kuwa Mruma alikuja na findings za kweli? Kwamba kila kontena la mchanga lina kilo 28 za dhahabu?

Unajua kuwa hao ACACIA watataka zitumike maabara zilizo nje ya mfumo wa kiserikali na pengine za kimataifa ili kuja na findings zisizoegemea upande wowote na hapo Mruma ataumbuka? Pia unajua kuwa kule wanaocertify mzigo ni maagent wa serikali kuanzia mgodini mpaka bandarini? Sasa nyie mtaanzaje kumbughudhi ACACIA wakati kila kitu mnafanya nyie? Yan mtagongwa kuanzia mikataba mpaka kwa hako karipoti uchwara ka Mruma. Mtachapwa mchapike. Kwanza hamjawahi kushinda kesi za kimataifa!
 
Hivi unaamini kuwa Mruma alikuja na findings za kweli? Kwamba kila kontena la mchanga lina kilo 28 za dhahabu?

Unajua kuwa hao ACACIA watataka zitumike maabara zilizo nje ya mfumo wa kiserikali na pengine za kimataifa ili kuja na findings zisizoegemea upande wowote na hapo Mruma ataumbuka? Pia unajua kuwa kule wanaocertify mzigo ni maagent wa serikali kuanzia mgodini mpaka bandarini? Sasa nyie mtaanzaje kumbughudhi ACACIA wakati kila kitu mnafanya nyie? Yan mtagongwa kuanzia mikataba mpaka kwa hako karipoti uchwara ka Mruma. Mtachapwa mchapike. Kwanza hamjawahi kushinda kesi za kimataifa!
We ni mjinga na lof.a kweli. Haya huyajui achana nayo nenda kafanye shughuli nyingine please. Huyaelewi maana hata hujui hoja sahihi
 
sio lazima kuufuata ushauri wa lissu maana hata wakati viongozi wetu tuliowaamini walivyoingia mkataba wa kimangungo hamkutaka kumsikiliza. endeleeni na mambo yenu kama kawa.
 
Kuhusu kujitoa MIGA kama umeshindwa kuona Sarcasm ' nyuma ya 'ushauri' huo basi upo so short sighted
Na si kweli serikali inajua ifanyalo zaidi ya ukurukupukwaji wa kawaida wa Magufuli kama tulivyoona uvunjwaji wa kituo cha mafuta Mwanza na meli ya uvuvi
Kwa bahati mbaya nyie wote mnamhara mno kiasi hakuna anayethubutu kumwambia ukweli,mmebaki kumsifia Mfalme jinsi nguo zilivyompendeza ,kumbe yupo uchi
Usitulazimishe tumuamini chizi fresh, tena mwizi tu, kwendaaaa!
 
Jamaa amehit, huyu ni learned brother aliyetulia kiakili, anaweza kuwa mwana wa Magembe yuule
 
Sisi hatuna mengi ya kusema ila muda utasema yote.
Wakati ule tulipokuwa tunatunga hizi Sheria na kuingia hii mikataba ni Lissu huyu huyu alituonya sana kuwa TUMEKUBALI KUIBIWA NA IPO SIKU TUTAJUTA, leo tunajuta kweli kweli.

Sasa leo tena Lissu anatuonya kuwa kwenda kichwa kichwa kwenye issue hii tutaishia KUJUTA VIBAYA, bado baadhi yetu tunasema Lissu ni mjinga, kichaa, kahongwa nk. Sasa tujipe muda tu, mbichi na mbivu zitajulikana tu.

Professor Muhongo alipomwambia Rais ukweli huo, kaishia kutumbuliwa. Lakini kabakia na kauli moja tu ya "Ukweli utabakia kuwa Ukweli"

Andrew Chenge naye kamwambia rais kuwa ile tume aliyoiunda rais imepotosha mambo mengi..

Wanasheria mahili wa mikataba wanasema katika hili rais anahitaji kusaidiwa maana yeye mwenyewe haliwezi na hataliweza, na kuna kila dalili kuja kujuta....

Lets wait and see.
 
Mjinga ni yule ambae anapewa ushauri wa kumsaidia lkn kwa ujinga wake anaona ushauri anaopewa ndio wakijinga na matokeo yake ni anguko kuu litakalo fwatia kwa ushauri wa kijinga kama ulivyoutoa
Ndiyo useme ushauri huo ni wa kufuata?
 
Yaani huyu mjamaa lisu nahisi hizo hela za rushwa za ACACIA zitamuua, maana amekula hela ili awatetee kwa kitu ambacho yeye mwenyewe anajua kabisa msimamo wa serikali ni kuwa viongozi wote wa awamu ya 5 hawana bei, ila ni chama mfu chadema wana bei

Umeshawahi kuoma movie ya blood diomond?
Na umeshawahi kujiuliza kwanini kuna vita afrika kila siku?
Mara zote hua hawa matajiri wakubwa hutumia udhaifu wa nchi na wananchi. wanawatumia viongozi wa wapinzani iliwafanikiwe kwenye biashara zao. na sisi wananchi kwa kua tuna elimu ndogo basi tunaamini kila tutakacho ambiwa kabla hatuja tafuta ukweli.
Leo hii jinsi Lisu anavyo ongea ndio utasema huyu jamaa kasha hongwa na kashapewa ahadi zake nyingi tu, na kama ni hivyo basi anaweza pia akaambiwa kwamba atasambaziwa silaha ili serikali iondoke.
Kama kulikua na makosa yaliofanyika yalisha fanyika. mtoto akinyiea mkono je utaukata?
 
Opposition parties ni kama wachawi hawajawahi kuiombea nchi hii mema, zaidi ya kelele zao, baadhi utawajua tu according to their stupid comments
 
Kwani amewalazimisha kuufuata? Nyie endelezeni upuuzi wenu mwisho mtalia midomo wazi kina sie ni kuongeza pilipili machoni mlie zaidi.
Hoja ujadiliwa si kwasababu kuna kulazimishana bali kwasababu binadamu tuna utashi
 
Umakini wa kuvunja sheria ni umakini mzuri sana. Serikali iendelee tu na wala hakuna wa kuifanya kitu huko MIGA na sijui wapi. Hawa wakina Lissu ndio waliosaini ile mikataba mibovu tukawashauri wakakataa kabisa.

Na tunavyozidi kupanua ndio wanapata hamubzaidi!
Wanaanza kuruka na kukanyagana kwa aibu
 
Back
Top Bottom