FATHER JOKA
Member
- Jan 4, 2019
- 8
- 7
Nataka kuanza kufuga kuku wa mayai na nataka kujenga banda. Naomba ushauri mambo mhimu ya kuzingatia ili nisiingie chaka.
safi mm nina idea kama yako nitaanz mwez wa nane ww vip unaleng kufk wangp wwNataka kuanza kufuga kuku wa mayai na nataka kujenga banda. Naomba ushauri mambo mhimu ya kuzingatia ili nisiingie chaka.